Huyu Steve Nyerere ni nani...?

Huyu Steve Nyerere ni nani...?

Huyo Steve nilipoona yuko karibu na lemutuz nikajua tu maisha yake naye ni ya udananda
cf3701df00f4671bec7c2be86ce7154a.jpg

Hv huyo wa pembeni yake hilo shati kubwa kama turubai asee
 
Mleta mada steve na erick ni mbingu na ardhi lkn pia erick na trevor ni mbingu na ardhi....steve na Trevor ni sawa na umbali uliopo kati ya jua na Pluto
Ni muda mrefu nimekuwa nikimsikia akijinasibu kama mchekeshaji maarufu hapa nchini, na kwa kuwa mimi siyo mfuatiliaji wa movie za kibongo pamoja na hao wanaojiita wachekeshaji hata sikuwahi kumfuatilia zaidi ya kupishana naye kwenye kumbi za starehe.

Lakini hivi karibuni nimeona clip moja akimponda Eric Omondi mchekeshaji wa Kenya kwamba hana jipya na kudai Watanzania ni wajinga kumshabikia!

Binafsi mimi siyo na sikuwahi kuwa mshabiki wa Eric Omondi zaidi tu huwa namsikia kwa watu walionizunguka wakisimulia habari zake.

Kauli ya kudai kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kumshabikia Eric Omondi ilinishtua kidogo nikalazimika Kumtafuta Eric Omondi kwenye Youtube na Huyu kijana wetu Steve Nyerere.

Ukweli ni kwamba nilichokiona ni sawa na Mbingu na Ardhi, yaani Steve akiwekwa jukwaa moja na Eric hamfikii hata kwa theluthi.

Huyu Mkenya yuko vizuri kwa utafiti na uchekashaji wake unaeliamisha na pia lugha inambeba kiasi kwamba anaweza kwenda hata nje ya nchi kushindana na magwiji wa Comedy kama alivyotoka huyu kijana wa Africa Kusini anayeitwa Noah Trevor.

Ukiangalia vichekesho vya huyu kijana wetu aliyedai Watanzania ni wajinga, anachofanya yeye ni mipasho na si vichekesho kama anavyodai lakini kingine ni lugha ya kiingereza inampiga chenga kwa sababu ya kukimbia shule kwa kutaka umaarufu.

Wasichokijua wasanii wengi hapa nchini hususan comedian ni kwamba ili kujenga soko kimataifa lugha ya kiingereza ni muhimu kwani ndiyo lugha pekee itakayokuwezesha kufika mbali.

Kilichombeba Steve ni Magazeti ya Udaku na yeye kuvimba kichwa na kusahau kwamba elimu ni muhimu kwa fani anayotaka kuifanya. Lakini hajachelewa anaweza kujiunga pale British Council ili kujifunza kiingereza na mbinu mbalimbali za kuzungumza kwenye hadhira.


Hebu tuwaone hawa watu watatu yaani Eric Omondi, Steve Nyerere na huyu Noah Trevor ili muone tofauti ilipo.....









Mkuu samahani sana mi ukiacha zile stand up comedy za ze comedy kipindi bado wapo EATV sijawahi angalia video clip za stand up comedy zozote za bongo.


Naomba nikuulize kitu Huyo Steav nyerere amewahi kualikwa Kenya ? Au nchi yeyote ukanda wa Afrika mashariki
 
Mkuu samahani sana mi ukiacha zile stand up comedy za ze comedy kipindi bado wapo EATV sijawahi angalia video clip za stand up comedy zozote za bongo.


Naomba nikuulize kitu Huyo Steav nyerere amewahi kualikwa Kenya ? Au nchi yeyote ukanda wa Afrika mashariki
Hajawahi...na hata hizi za ndani audience yake ni bongo movie wenzie
 
Eric Omondi ni noma kwenye standup comedy bongo hakuna wa kumfikia kwa east africa anaweza toa droo na Anne Kansiime wa Ug.
 
Ni muda mrefu nimekuwa nikimsikia akijinasibu kama mchekeshaji maarufu hapa nchini, na kwa kuwa mimi siyo mfuatiliaji wa movie za kibongo pamoja na hao wanaojiita wachekeshaji hata sikuwahi kumfuatilia zaidi ya kupishana naye kwenye kumbi za starehe.

Lakini hivi karibuni nimeona clip moja akimponda Eric Omondi mchekeshaji wa Kenya kwamba hana jipya na kudai Watanzania ni wajinga kumshabikia!

Binafsi mimi siyo na sikuwahi kuwa mshabiki wa Eric Omondi zaidi tu huwa namsikia kwa watu walionizunguka wakisimulia habari zake.

Kauli ya kudai kwamba Watanzania ni Wajinga kwa kumshabikia Eric Omondi ilinishtua kidogo nikalazimika Kumtafuta Eric Omondi kwenye Youtube na Huyu kijana wetu Steve Nyerere.

Ukweli ni kwamba nilichokiona ni sawa na Mbingu na Ardhi, yaani Steve akiwekwa jukwaa moja na Eric hamfikii hata kwa theluthi.

Huyu Mkenya yuko vizuri kwa utafiti na uchekashaji wake unaeliamisha na pia lugha inambeba kiasi kwamba anaweza kwenda hata nje ya nchi kushindana na magwiji wa Comedy kama alivyotoka huyu kijana wa Africa Kusini anayeitwa Noah Trevor.

Ukiangalia vichekesho vya huyu kijana wetu aliyedai Watanzania ni wajinga, anachofanya yeye ni mipasho na si vichekesho kama anavyodai lakini kingine ni lugha ya kiingereza inampiga chenga kwa sababu ya kukimbia shule kwa kutaka umaarufu.

Wasichokijua wasanii wengi hapa nchini hususan comedian ni kwamba ili kujenga soko kimataifa lugha ya kiingereza ni muhimu kwani ndiyo lugha pekee itakayokuwezesha kufika mbali.

Kilichombeba Steve ni Magazeti ya Udaku na yeye kuvimba kichwa na kusahau kwamba elimu ni muhimu kwa fani anayotaka kuifanya. Lakini hajachelewa anaweza kujiunga pale British Council ili kujifunza kiingereza na mbinu mbalimbali za kuzungumza kwenye hadhira.


Hebu tuwaone hawa watu watatu yaani Eric Omondi, Steve Nyerere na huyu Noah Trevor ili muone tofauti ilipo.....










Usilinganishe mavi na cake mtambuzi

Huyo wa bongo ni mavi tena yaliyooza
 
All in all, Kenyan comedians are by far beating our Tanzania comedians.
 
Khaa huyu kada wa lumumba kaanza lini comediani.....

Kuigiza hawez ....comedy ndo ataweza

Wakaae na lemutuz wauze umbea tuu
 
Erik Omondi na Trevor noah wanachekesha watu. Huyo mwengine anacheka mwenyewe tu
 
Nikiangalia Steve nyerere kipaji chake anavyomuigiza Mwalim Julias Kambarage Nyerere ni wazi kwamba ana kipaji cha kipekee. Erick omondi alivyomuigiza rais Magufuli amejitahidi lakini hakumpatia sana.
Marehemu Kanumba na Rey walitambua kipaji cha Steve Nyerere wakaamua kutuletea kipaji hiki ndani ya bongomuvi.
Aongeze juhudi na ubunifu zaidi katika kazi zake atafika mbali.
Hata kumuigiza Mwl JKN hajui bhana! Huwa nashangaa huyu jamaa kupewa sifa kwamba ana kipaji cha kumuigiza Mwalimu. Labda kama watu wanavyosema kwamba alikuwa na shughuli nyingine ndani ya sanaa lakini kuigiza NOOO!
 
Nazi na Jiwe.Steve bado sanaa
 
Jamani tujadili vitu vya msingi
Yaani unafungua uzi wa kumwongelea huyu nanilii
 
Back
Top Bottom