Ana nafasi gani kwenye Chama?Hawa ndo wapiga madili wa ccm
Umbali mrefu uko kwa maskini tu!Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Hawa ndio wapiga dili chafu kwa sababu ya fedha wanatetemekewa sana na CCMNi Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Wewe ndio hujielewi. Ungekuwa unajielewa ungelijua kuwa Dodoma kuna Mkutano Mkuu wa CCM Taifa. Na kama zinakutosha sana basi utaelewa ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM.Hujielewi umekurupuka nimeuliza ana nafasi/cheo gani ndani ya Chama?
Kweli unauliza ana nafasi gani? Hujui hawa ndiyo majizi yanayotoa fedha kwa CCM?Ana nafasi gani kwenye Chama?
AU Mkuu britanicca Ulivyokuwa unasema ni successor wa ubunge kwenye kile Kisiwa?
Wasanii walioko dodoma wana cheo gani ccm? CCM kila anayetaka maslahi anajipeleka peleka tu. Ndivyo siasa za Afrika zilivyo naona hii imefika hadi US. We huoni baada ya uchaguzi kila tajiri wa US anajipendekeza kwa Trump. Mark Zuckerberg alikuwa anamkandia Trump hadharani now kapiga U-turn.Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Kwa wagombea watarajiwa ni wajumbe wa mkutano mkuuMbunge mtarajiwa wa Kongwa 🐼
Na alikwisha peleka kishika uchumba kuchangia ujenzi wa msikitiMbunge mtarajiwa wa Kongwa 🐼
Hawa ndiyo wafadhili wakubwa wa CCM ili wapate mwavuli wa kupiga dili zao za kukwepa kodiNi Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
MjumbeNi Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
CCM ni chama Kikubwa 🐼Kwa wagombea watarajiwa ni wajumbe wa mkutano mkuu