Huyu Tajiri huko CCM ana nafasi gani?

Huyu Tajiri huko CCM ana nafasi gani?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
20250119_084954.jpg

Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
 
Ni Gharib Said Muhammad (GSM)
Naomba wana jamvi nisaidie huyu Tajiri ana cheo/nafasi gani kwenye Chama?
Saa nane mchana alikuwa Dodoma kwenye mkutano wa CCM saa 10 yupo Dar uwanjani hii inawezekanaje ?
View attachment 3205950
Cc
Tlaatlaah
chiembe
ChoiceVariable
milele amina
Lucas Mwashambwa
johnthebaptist
Wasanii walioko dodoma wana cheo gani ccm? CCM kila anayetaka maslahi anajipeleka peleka tu. Ndivyo siasa za Afrika zilivyo naona hii imefika hadi US. We huoni baada ya uchaguzi kila tajiri wa US anajipendekeza kwa Trump. Mark Zuckerberg alikuwa anamkandia Trump hadharani now kapiga U-turn.
 
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.kila mwenye akili Timamu na anayejitambua ni mwanachama wa CCM na anaiunga mkono CCM. Ni CCM ndio imefanya kazi kubwa ya kiuwekezaji wa miundombinu ambapo sasa unaweza ukawa unashiriki mkutano Mkuu wa CCM Dodoma saa nane mchana na saa kumi jioni siku hiyohiyo ukawa umefika uwanja wa Benjamini mkapa ukiangalia mechi ya Yanga au Simba leo huku ukibubujikwa na machozi
 
Hawa wanajipachika kwenye Chama Ili waibe Vizuri..Huwa wanakwepa Kodi saaana hawa,,mfano Ni Manji ,,alijipachika kwenye Chama Ili aendelee kunyonya Nchi Yetu.Tuwakatae Matajiri wajanja wajanja.wapo Hapo kimaslai tuu
 
Ukiongolea gsm.unaongelea kikwete
Huyu na msomali heris said wanapambana wapate ubunge mwaka huu.

Msomali anatafutiwa jimbo dodoma
Garib.dar hsa kigambon

,Hawa.ndiowanapenda mbowe ashinde uenyekiti wakae naye wampe mkwanja wanapogombea wasipate upinzani
 
Truth and Reconciliation Commission (TRC), halisi ilikuwa South Africa sio hii ya bi-tozo.

Usilaumu wachezaji, lalamikia kanuni za mchezo.

Kanuni za mchezo zikibadilika, na wachezaji wanabadili tabia pia.

Uwezi kulaumu watu kutumia fursa zilizopo mbele yao.

Hii ni CCM ya wafanyabiashara, ile ya kujitegemea hatuko tayari nayo (tumeona inafananaje).

Unataka bandari iwe na faida ya trillion moja kwa mwaka utukanwe, au itengeneze billion 200 kwa mwaka upendwe.

Hiyo ni sehemu moja tu.

Kazi ya kujenga nchi si rahisi R.I.P; JPM.

Ishi na maamuzi yako ya maisha, hata kama ni ya kuamini ujinga uliolishwa
 
Back
Top Bottom