Huyu Tajiri wenu ni mshamba na mswahili

Huyu Tajiri wenu ni mshamba na mswahili

Simba SC ni timu ya familia ya Mo Dewji. Yeye huamua kusema na kufanya chochote atakacho, hakuna wa kumpinga.

Mikia inabaki kama mikia tu
 
Mikia tukiwaambia mnatokwa na mapovu, oneni Mwamedi sasa, siyo muda atasema account yake imekuwa hacked
 
Bakhressa sijawahi kumsikia akiongea kwenye vyombo vya habari na ana TV zake akiamua awe ana tangazo lake anaweza. Hutamuona akiongea. Huyu jamaa mshamba sana aisee.
Nilimfahamu Bakharesa siku ya msiba wa wafanyakazi wake waliopata ajali, ila Mwamedi duuh
 
Mali za baba huyu ni mswahili mwenzetu tu analingia tu kuzaliwa kwenye pesa ilaa yeye ni kapuku ndo maana analingia Mali

Ile maskin akipata
 
MO anahaki ya kuongea anachopenda.
MO yupo kawaida tu kwani hajioni kuwa ni Tajiri, wala hajifichi kama Matajiri wengine.
Kumbuka kazaliwa Singida na ni mswahili kama waswahili
wengine.
Ukisema hivyo hata Elon Musk kazaliwa hapo kwa madiba, ila hana ushambenga
 
Cha kushangaza amesoma hadi US ila tabia za kibongo zimemjaa

Mkuu kusoma US si tija bado ni mshamba sana mshikaji. Tena unaweza kusoma US ukasoma Community College lakini yeye kasoma Stanford University moja ya best universities duniani lakini hilo halijamsaidia. Sasa Chama kam-unfollow ngoja tuone atamfuta kazi?
 
Mkuu kusoma US si tija bado ni mshamba sana mshikaji. Tena unaweza kusoma US ukasoma Community College lakini yeye kasoma Stanford University moja ya best universities duniani lakini hilo halijamsaidia. Sasa Chama kam-unfollow ngoja tuone atamfuta kazi?
Inaonyesha ukitaka ufanye nae kazi inabidi uwe na uvumilivu mwingi.

Kweli Mhindi anabaki kuwa Mhindi tu, hata ufanyaje
 
Mo kumbe ni very weak!sikuwahi kuwaza hilo
Nadhani ali underestimate uwezo wa Haji
Haji atamsumbua sana tajiri,na tajiri alivyo silaha kuu itakua kutangaza kujiondoa ili ionekane haji anaharibu simba
 
Back
Top Bottom