Mpaka leo nikikutana Na bakhresa sokoni tutapishana sitamjua...labda yeye ndo anijue mimiBakhressa sijawahi kumsikia akiongea kwenye vyombo vya habari na ana TV zake akiamua awe ana tangazo lake anaweza. Hutamuona akiongea. Huyu jamaa mshamba sana aisee.
Point ilikuwa matumizi ya social media..Anavyo viongea Elon Musk na Mo vinafanana?, huoni hiyo kauli imejaa mipasho na majigambo.
Yaah wengi wao.Point ilikuwa matumizi ya social media..
We ulisema mabilionea hawan Muda nayo kabisa
Hahahahhahah walimrafi sio?
Unamjua ELON MUSK weweMabilionea hawanaga time na social networks, ila huyu huo mda sijui anaupata wapi.
Nilimfahamu Bakharesa siku ya msiba wa wafanyakazi wake waliopata ajali, ila Mwamedi duuhBakhressa sijawahi kumsikia akiongea kwenye vyombo vya habari na ana TV zake akiamua awe ana tangazo lake anaweza. Hutamuona akiongea. Huyu jamaa mshamba sana aisee.
Ukisema hivyo hata Elon Musk kazaliwa hapo kwa madiba, ila hana ushambengaMO anahaki ya kuongea anachopenda.
MO yupo kawaida tu kwani hajioni kuwa ni Tajiri, wala hajifichi kama Matajiri wengine.
Kumbuka kazaliwa Singida na ni mswahili kama waswahili
wengine.
Cha kushangaza amesoma hadi US ila tabia za kibongo zimemjaa
bhas hainahaja tuishi nae hvyo hvyo🤣🤣🤣🤣😂Ndio wa kwetu huyo tufanyaje sasa
Inaonyesha ukitaka ufanye nae kazi inabidi uwe na uvumilivu mwingi.Mkuu kusoma US si tija bado ni mshamba sana mshikaji. Tena unaweza kusoma US ukasoma Community College lakini yeye kasoma Stanford University moja ya best universities duniani lakini hilo halijamsaidia. Sasa Chama kam-unfollow ngoja tuone atamfuta kazi?
Yani Tajiri ni mbinafsi anashindwa kuacha pesa izungumze naye anataka kupga kelele kwenye mitandao apate umaarufu.Yaani Manara kasifiwa na Chama Insta Live , Tajiri wenu amekasirika kabisa.
Ni hakika yale aliyosema Haji tumeanza kuona ukweli wake.
Huyu mtu ni mshamba sana, tajiri gani ana tabia za kimaskini !. View attachment 1883188View attachment 1883189