Wamezoea mabavu kwa raia,huyo mlinzi wa Rais aliyeshika silaha alishamuona toka mbali akiwa hana nidhamu kukatiza nyuma ya migongo ya usalama wa Rais. Kosa kubwa mno kwa askari mwenye mafunzo.Hasira mpaka hajui kwa kupita na kusukuma watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamezoea mabavu kwa raia,huyo mlinzi wa Rais aliyeshika silaha alishamuona toka mbali akiwa hana nidhamu kukatiza nyuma ya migongo ya usalama wa Rais. Kosa kubwa mno kwa askari mwenye mafunzo.Hasira mpaka hajui kwa kupita na kusukuma watu
Huyo mama ni mpambe tu.Mfumo wa ulinzi wa mama unatia shaka pakubwa sana kuna picha moja nimeona mlinzi mwanamama kavaa high heels? Hivi wapo serious kweli na uhai wa huyu mama?
Ni kawaida kwa walinzi wa kike kuvaa travolta ila huyu kanishtua kwa kweli leo, mlinzi anavaa kama anaenda ofisini.
inashangaza walinzi wamejikusanya sehemu moja hawana concentration kabisa hata kwenye mpira mabeki huwa wanajipanga kwa mpangilio sijui alipenyaje ,duh?kumbe angekuwa suicide bomber saa hii tunaongea mengineHata sare hajafunga vifungo
Yuko makini alimuona muda kabla ya waliokuwa karibu, faida ya urefuWamezoea mabavu kwa raia,huyo mlinzi wa Rais aliyeshika silaha alishamuona toka mbali akiwa hana nidhamu kukatiza nyuma ya migongo ya usalama wa Rais.Kosa kubwa mno kwa askari mwenye mafunzo.
Hata huyo jamaa askari wa mavyeo kamuangalia kwa hasira kwamba anamuaibisha.Wamezoea mabavu kwa raia,huyo mlinzi wa Rais aliyeshika silaha alishamuona toka mbali akiwa hana nidhamu kukatiza nyuma ya migongo ya usalama wa Rais.Kosa kubwa mno kwa askari mwenye mafunzo.
Nipe tofouti kati ya mpambe na mlinzi? Unafahamau kuna layer ngapi za ulinzi hadi kumfikia mlengwa ambaye ni mama?Huyo mama ni mpambe tu.
Walinizi ni wale ambao wanakuwa hawamuangalii mama wanakuwa wamezunguka kila angle kuangalia opposite side na mama.
Kumbe na ww umeona......Huyo trafiki ni kama amefanya kusudi kumsukuma mwanausalama baada ya kuelekezwa kwa kupita. Kimsingi, hapo kulikuwa na makosa na huyo trafiki hakufanya vyema kumsukuma mwanausalama na kumtwangia saluti mkuu wake tu.
Lipo jambo la kuchunguzwa na kurekebishwa hapo. Binafsi, sikupenda namna huyo trafiki alivyomsukuma kwa makusudi( tazama mkono wake wa kushoto) mwanausalama.
Huo ulinzi pia una mashaka sana.inashangaza walinzi wamejikusanya sehemu moja hawana concentration kabisa hata kwenye mpira mabeki huwa wanajipanga kwa mpangilio sijui alipenyaje ,duh?kumbe angekuwa suicide bomber saa hii tunaongea mengine
Huyo hawawezi kumuacha,lazima ataitwa na wakubwa wake aulizwe nini sababu japokuwa haowezi kuwa ishu kubwa na hawezi kufanywa lolotee zaidi ya kuhojiwa tuSio tukio la kawaida, nadhani atakuwa anahojiwa
Huyo hawawezi kumuacha,lazima ataitwa na wakubwa wake aulizwe nini sababu japokuwa haowezi kuwa ishu kubwa na hawezi kufanywa lolotee zaidi ya kuhojiwa tuSio tukio la kawaida, nadhani atakuwa anahojiwa
Mawenge tu maisha yanamvurugaAu kalewa? Hata uvaaji wake hauko sawa
Mpembe anakuwa yupo na raisi kila anakoenda, akikaa naye anakaa, akisimama naye anasimama.Nipe tofouti kati ya mpambe na mlinzi? Unafahamau kuna layer ngapi za ulinzi hadi kumfikia mlengwa ambaye ni mama?
Na unajua huyo mama ninaye muongelea alikuwa akitengeneza layer ya ngapi ya ulinzi??
Ingekuwa safi sanaIngekuwa enzi za nduli Fashisti angepigwa shaba hapohapo
waida ya wapi unayoijua wewe wa kudanga!?. Ujuaji mwiiiiingi!. Eti kwa kawaida wanavaaga travota!?.. kwapa zinanuuuuuuka, domo ndo usiseme!Mfumo wa ulinzi wa mama unatia shaka pakubwa sana kuna picha moja nimeona mlinzi mwanamama kavaa high heels? Hivi wapo serious kweli na uhai wa huyu mama?
Ni kawaida kwa walinzi wa kike kuvaa travolta ila huyu kanishtua kwa kweli leo, mlinzi anavaa kama anaenda ofisini.