DOKEZO Huyu Waziri Rajabu ni nani? Nasikia anapiga deal nzito sana wizara ya ujenzi

DOKEZO Huyu Waziri Rajabu ni nani? Nasikia anapiga deal nzito sana wizara ya ujenzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Huyu jamaa ni nani ? Hii picha inamuonyesha akiwa Dubai kapokelewa kwa ajili ya negotiations

IMG_4159.jpeg
 
'Waziri Rajabu' - ni "Waziri wa Wizara ya Ujenzi"; au ni 'Waziri' kama jina?
Kwani Mbalawa yupo wizara gani?

WaTanzania, na hasa CCM wataishangaza sana dunia endapo kwa njia yoyote ile watakubali kuendelea kuwa na Samia baada ya 2025.

Si ajabu 'Waziri Rajabu' anatafuta wafadhiri wa kuwanunua waTanzania kwenye safari zake hizo.
 
Back
Top Bottom