shichandao
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 274
- 418
Kama ni kweli inatamanisha.Amempangia mchepuko apartment town na kumpa kila mwezi milioni 20 fedha ya matumizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli inatamanisha.Amempangia mchepuko apartment town na kumpa kila mwezi milioni 20 fedha ya matumizi.
Kama ni kweli inatamanisha.
Ni mmoja ya wale walioambiwa wale kwa urefu wa kamba zao!!Huyu jamaa ni nani ? Hii picha inamuonyesha akiwa Dubai kapokelewa kwa ajili ya negotiations
🤔Mawaziri wanamuogopa sana huyu jamaa
Inasemekana akiamua upate nafasi unapata na kutumbuliwa pia
Acheni uchawiHuyu jamaa ni nani ? Hii picha inamuonyesha akiwa Dubai kapokelewa kwa ajili ya negotiations
Sio kweli!Amempangia mchepuko apartment town na kumpa kila mwezi milioni 20 fedha ya matumizi.
Duh. Mimi bado niwa kitaifa ndio maana nimesema hivyo. Niko tayari kuwa mchepuko wakewa pili kwa punguzo la 50%Diddy anatoa mara 500 ya hiyo kwa One night stand ili mradi apake wese kwenye JICHO.
Angekuwa Roger ungemleta pia kwa aina hii ya kumkandia?Huyu jamaa ni nani ? Hii picha inamuonyesha akiwa Dubai kapokelewa kwa ajili ya negotiations
Ezi nyinyi, kaiba nini huyo?Ukiwa hauna Mungu Nini kitakuzuia kuwa mwizi? Maccm wote wezi
Tafuta faili lake lipo humu, utajuaKaiba nin
Yap system imejaa wazanzibar tupuKwahiyo hao ndio madalali wanaopokea pesa chafu kwa niaba ya kizimkazi ?
Huyooo ni as kazi zoote za kizmkz....be Abdul nyuma yakeYap system imejaa wazanzibar tupu
Abdul ndiyo dalali mkuu wa kuuza baraHuyooo ni as kazi zoote za kizmkz....be Abdul nyuma yake
Sahivi bara inapigwa nje ndani na wazanzibar asee sisi tunatoa macho pekeeMitaa yangu kuna mtu anawavua watu nyumba balaa...kuna mtu kipande hicho ana nyumba kama 6
Ova
Asante Israel kwa kaz tukufuAngekuwa Roger ungemleta pia kwa aina hii ya kumkandia?
Rajabu piga kazi, wachana na hawa Islamophobes.
Yap system imejaa wazanzibar tupu