DOKEZO Huyu Waziri Rajabu ni nani? Nasikia anapiga deal nzito sana wizara ya ujenzi

DOKEZO Huyu Waziri Rajabu ni nani? Nasikia anapiga deal nzito sana wizara ya ujenzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hakikisha unazo code za FBI kwa attempt yoyote ya kutaka kujibu hili swali hatari kabisa kuwahi kuulizwa humu
 
Kwani hapa Abdul alienda kufanya negotiation kama nani?

Tukihoji wanakuja kusema tunawachukia sababu ya dini yao.

Hawa walevi wa hizi dini ni kazi sana.

Ni afadhali kwa asiye na dini kuliko hawa walevi wa dini.
View attachment 3109668
Ona huyo kima alivyoviringisha bichwa mbele ya mseven ati nae anawakilisha nchi . Kizimkazi mpaka amalize nitakuwa hoi
 
Kuwa na rais mwanamama ni hatari sana.ona Sasa nchi Kwa Sasa inaongozwa na michepuko yake
 
Kwani hapa Abdul alienda kufanya negotiation kama nani?

Tukihoji wanakuja kusema tunawachukia sababu ya dini yao.

Hawa walevi wa hizi dini ni kazi sana.

Ni afadhali kwa asiye na dini kuliko hawa walevi wa dini.
View attachment 3109668
so ni kosa abdul kuwepo hapo? je kama a nafanya majukumu yake ya first son je vibaya? mbona trump aliteua mwanae kuwa wazir trump jr
 
so ni kosa abdul kuwepo hapo?
Abdul alikuwepo hapo katika "capacity" gani?
je kama a nafanya majukumu yake ya first son je vibaya?
Cheo cha first son umekitoa wapi wewe?

Hicho cheo kipo katika katiba ipi?

Na majukumu hayo unayoyasema ya cheo hicho ni yapi?
mbona trump aliteua mwanae kuwa wazir trump jr
Acha kudandia mada zinazikushinda uwezo lini huyo mtoto wa Trump alikuwa waziri au ni Usa river na USA

Check cabinet ya Trump hapo.
images - 2024-09-29T214632.351.jpeg
 
Kwani hapa Abdul alienda kufanya negotiation kama nani?

Tukihoji wanakuja kusema tunawachukia sababu ya dini yao.

Hawa walevi wa hizi dini ni kazi sana.

Ni afadhali kwa asiye na dini kuliko hawa walevi wa dini.
View attachment 3109668
Hapa Kaguta Mseveni alikuwa anasema naona mama yako anafanya kama mm japo cjui baba yako ana cheo gani uko kwenu mm hapa Mke wangu ni waziri wa elimu na utamaduni na kijana wangu mkubwa ndo CDF.
 
Hapa Kaguta Mseveni alikuwa anasema naona mama yako anafanya kama mm japo cjui baba yako ana cheo gani uko kwenu mm hapa Mke wangu ni waziri wa elimu na utamaduni na kijana wangu mkubwa ndo CDF.
Na kijana wake ambaye ni CDF amesema waganda wasitarajie rais ajaye wa Uganda atakuwa ni raia wa kawaida bali lazima atoke katima majeshi , jibu ni jepesi yeye ndio mrithi wa Museveni.
 
Back
Top Bottom