wamkodowenye
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 261
- 291
Unakuta unamtoa demu lunch alafu mkifika anaagiza vitu vya gharama misosi nini alafu cha kushangaza sasa anashika shika apo anaacha anakula apo robo tuu ..
Au anaagiza dompo akinywa kidogo unasikia ohoo ina harufu mbaya labda nijaribu amarula au wine khaa yaani mnatia hasira sana au unatolewa out na babe unakuja na kijiji hivi hua mnatukomoa au?
Au anaagiza dompo akinywa kidogo unasikia ohoo ina harufu mbaya labda nijaribu amarula au wine khaa yaani mnatia hasira sana au unatolewa out na babe unakuja na kijiji hivi hua mnatukomoa au?