Mzee Mukaruka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 712
- 393
Sure brother. [emoji106] [emoji106] [emoji106]Pamoja na ushauri wa tuition ya ana kwa ana humu JF, nashauri watu waingie kwenye YOU TUBE andika chochote kama 'growing soilless wheatgrass' au 'fodders growing', yatakuja mengi.Ukijifunza hayo pamoja na haya humu mwetu JF, nina hakika utapata kitu. Kwa kweli ni process rahisi sana, haina gharama sana LAKINI faida zake kwa mifugo yetu ni KUBWA SANA. Changamkia mwana JF!
Hullo! Kama nilivyosema ni FODDER na siyo FOODER!Hydroponics Fooder
Trei za alminium ni bora zaidiTunashukuru kwa hilo, lakini pia ningependa kujua tunaziotesha wapi (kwa rate ipi), nutrients zipi zinatumika na kwa rate gani!
Twende sambamba majibu ya maswali yako yatapatikana! Ila binafsi sijafuatilia sana aina za kuku.Mkuu, mimi nimeanza kufuga wa kienyeji wapo 100.Ila nataka nifuge kwa kiasi kikubwa hawa ambao ni crossed breed. Je,ni aina gani nzuri hasa kwa kuhimili magonjwa, uzito na ukuaji wa haraka,nimepitia maada mbalimbali karibu aina ninazozifahamu zote zina changamoto ya magonjwa hasa hao weusi, sasso ila kroiller ndo sijaona ikizungumziwa.Je,vipi soko lao lipo kama la wa kienyeji au nalo linasumbua na pia wanaweza kupewa pumba ya kawaida tu wakakua kwa hatua za mwanzo kabla sijahamia kwenye hydroponic fodder.
Si vyema kumlisha fodder peke yake ila kwa kipindi ambacho vyakula vingine ni changamoto unaweza kuwapatia fodder tu!Nawashukuru sana wakuu kwa taaluma hii adhimu.
Ila naomba niulize swali moja lililonifanya nikapekua comments zote kulitafutia majibu...
Je, ukitaka kufuga kuku mathalani wa kienyeji, kwa kutumia teknolojia maridhawa ya haidroponiki, inatosha kuwapa hiyo fodder peke yake bila vyakula vingine?
Au fodder ni nyongeza tu kama zilivyo nyasi nyingine anazokula kuku mfugwa?
Kiungwan nitangulize shukrani...
Ahsante sana mkuu, naona wengine wanataka tuendelee kujibu yale yale!Nadhani mtoa mada alishalijibu hili.
Kwa siku kuku(alie karibu na kutaga au anaetaga) anahitaji gramu 125.
Kasema kuwa kwa siku kuku huyu atahitaji hii fooder kiasi cha gram 80.
Hivyo basi ni wazi kuwa kuku huyu atahitaji gram 45 pia za chakula cha kawaida.
Agiza EmO kiasi chochote utapatiwaTunashukuru kwa hilo, lakini pia ningependa kujua tunaziotesha wapi (kwa rate ipi), nutrients zipi zinatumika na kwa rate gani!
inapendeza ila itakuwa na upungufu wa virutubisho kwenye mfugo wako! most of nutrients za H-Fodder ni booster pia kwenye mifugo.
Asante. Ni kwa vipi Naweza kapata barley nikiwa naishi Dar?inapendeza ila itakuwa na upungufu wa virutubisho kwenye mfugo wako! most of nutrients za H-Fodder ni booster pia kwenye mifugo.
Mi mwenyewe nimeitafuta nimekosa ... nimeshangaa ukiingia sokoni kuulizia shayili unapewa ngano .. hata wafanyabiashara wa nafaka hawaijui hiyo kitu....Asante. Ni kwa vipi Naweza kapata barley nikiwa naishi Dar?
Shayiri kuipata ni shughuli kwa sababu inalimwa na wakulima baadhi kwa ubia na makampuni ya bia (tbl na sbl).. Kisha wanawauzia wao mzigo wote... Tutumie ngano na mtama tu.Mi mwenyewe nimeitafuta nimekosa ... nimeshangaa ukiingia sokoni kuulizia shayili unapewa ngano .. hata wafanyabiashara wa nafaka hawaijui hiyo kitu....
Nasikia Arusha inapatikana ila sijapata mtu wa kunihakikishia ...
Ahsante kwa ushauri .... ulezi je? na kwa wafuatiliaji ...Shayiri kuipata ni shughuli kwa sababu inalimwa na wakulima baadhi kwa ubia na makampuni ya bia (tbl na sbl).. Kisha wanawauzia wao mzigo wote... Tutumie ngano na mtama tu.
Mkuu naomba Msada. Hydroponic yangu nilipanda ngano, baada ya siku 8 niliwapa kuku wa nyama wa wiki 2 ajabu waligoma kabisa kula. Inaweza kuwa sababu gani?Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.
Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.
Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
Kuku wakila hydroponic fedder.
HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Fodder kwa kuku wape ikiwa na siku 4-5...Mkuu naomba Msada. Hydroponic yangu nilipanda ngano, baada ya siku 8 niliwapa kuku wa nyama wa wiki 2 ajabu waligoma kabisa kula. Inaweza kuwa sababu gani?
Siku 8 kwa ngano inakuwa imeishakuwa ngumu sana ...Mkuu naomba Msada. Hydroponic yangu nilipanda ngano, baada ya siku 8 niliwapa kuku wa nyama wa wiki 2 ajabu waligoma kabisa kula. Inaweza kuwa sababu gani?
Mkuu, ngano ya siku 6 inakuwa fupi au kwa sababu situmii nutrition?Siku 8 kwa ngano inakuwa imeishakuwa ngumu sana ...
Kuku wapatiwe kuanzia siku nne hadi 6 mwisho ...
Nguruwe wapatiwe kuanzia siku 6 hadi 9.
Wanyama wengine ambao ni watumiaji wa nyasi .. hao hata wakipatia iliyokomaa wanakula tu!
Kuna swali jingine mkuu?