Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Ni sahihi pia kutumia mtama mweupe na hata uwele, kwani jamii zote hizi kuwa zinauwezo wa kukusanya virutubisho vingi vinavyohitajika kwa wanyama katika hatua za awali za ukuaji wa mimea hii.
 
Banda lina umuhimu gani?
 
Hydroponic fodder haihitaji mbolea yoyote zaidi ya maji.
Hatua ya kwanza ni uchaguzi wa mbegu,
Unaweza kutumia mbegu za mahindi, mtama, uwele, shayiri au ngano. Unaziloweka kwenye maji na zile zinaoelea unazitupa.
Baada ya hapo unaziloweka kwenye ndoto ya maji chumvi au magadi kwa masaa mawili Kisha unazitoa na kuzisafisha na maji ili kuondoa chumvi au magadi.
Ukishatoka hatua hii unazifuka kwenye kitambaa cheusi na kuziweka gizani masaa 48.
Baada ya hapo unazisambaza kwenye beseni ambalo Lina vitundu vidogo dogo ili kuruhusu maji yanayotoka kupita. Hakikisha tray zako umezitengenezea sehemu ya kukaa pia ziwe zimewekwa sehemu yenye kivuli.
Inatakiwa kumwagilia asubuhi na jioni baada ya siku saba zitakuwa tayari kutumika hapo Kila moja inazalisha kilo nane.
Nimeeleza kwa ufupi hatua muhimu.
Hydroponic fodder haihitaji mbolea ya haina yoyote zaidi ya maji.
 
Kwaiyo conclusion ikoje kwenye ulishaji wa hydroponic Fodder kwq ng'ombe wa maziwa? Is it viable? Does it save cost?
 
Eleza vitu kama umeenda shule. Elezea technolojia yenyewe ni nini, inafanyaje kazi na ni vipi inapunguza gharama za kufuga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…