Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

Tunatengeneza na kuuza mbao za plastiki na nguzo za plastiki, mbao zetu ni nzuri, haziozi, hazibunguliwi wala kuliwa na mchwa.ni nzuri kwa wafugaji kwa kutengeneza mabanda ya kuku, zizi la ngombe,fensi ya nyumba, na fensi ya bustani, kwa mawasiliano tunapatikana kwa namba 0757671874 whatsapp, barua pepe amtatina@ecoact.co.tz
IMG-20210506-WA0001.jpg
IMG-20210420-WA0011.jpg
i3%20Hardware_102969519_1011300829289633_3573084401330310384_n.jpg
 
Safi sana wadau, hii kitu nafikiri unaweza kuifanya mwenyewe bila kununua expensive materials ni swala la kuwa mbunifu tuu, wengi wameeleza namna ya kufanya hii kitu na kwa zaidi angalia youtube videos kuna namna nyingi tuu za kufanya hii kitu, cha muhimu ni maji, mbegu na akili yako yako tuu
 
Asante sana kwa elimu hii. Nimepitia uzi wote na kutafuta taarifa zingine. Hii kitu nimegundua unaweza ifanya kwa kutumia resources ulizonazo.

Ninafanya majaribio kwa kilo mbili hizi za ngano nione matokeo yake yakoje.

Process nayotumia

1. Kuloweka ngano kwa masaa 4 ili kutoa uchafu wa nafaka isiyofaa. Ukiloweka uchafu unaelea, unautoa.

2. Vundika kwa masaa 48-INCUBATION. Unapovundika hakikisha unatumia ndoo ya plastic ili kuepusha kutu. Na iwe na matundu juu kwa ajili ya kupitisha hewa, sababu process hii inahitaji hewa ya oxygen.

3. Baada ya masaa 48. Unaanza kuotesha.

Unatumia tray ya plastic au aluminium(kuepusha kutu). Unapojaza tray, mjazo wa mbegu usizidi nusu inch, na pia tray isizidi inchi 2. Eneo halipaswi kuwa giza na lisipate mwanga wa moja kwa moja. Unakuwa unazinyunyuzia maji kila baada ya masaa matatu, day time, ili kupata unyevunyevu. Tray iwe na matundu pembeni upande mmoja ili maji yatoke. Kuepusha fungus.

Mategemeo baada ya siku Nne unaweza anza wapa kuku.

Nitatoa mrejesho kadri navyoendelea.

Nililoweka jana saa 5 asubuhi na kuvundika saa 9 mchana. So kesho saa 9 mchana masaa 24 yatakuwa yamekamilika. Nategemea kuotesha. View attachment 1783622View attachment 1783623View attachment 1783624
Hukuleta matokeo mkuu..!
 
Asante sana kwa elimu hii. Nimepitia uzi wote na kutafuta taarifa zingine. Hii kitu nimegundua unaweza ifanya kwa kutumia resources ulizonazo.

Ninafanya majaribio kwa kilo mbili hizi za ngano nione matokeo yake yakoje.

Process nayotumia

1. Kuloweka ngano kwa masaa 4 ili kutoa uchafu wa nafaka isiyofaa. Ukiloweka uchafu unaelea, unautoa.

2. Vundika kwa masaa 48-INCUBATION. Unapovundika hakikisha unatumia ndoo ya plastic ili kuepusha kutu. Na iwe na matundu juu kwa ajili ya kupitisha hewa, sababu process hii inahitaji hewa ya oxygen.

3. Baada ya masaa 48. Unaanza kuotesha.

Unatumia tray ya plastic au aluminium(kuepusha kutu). Unapojaza tray, mjazo wa mbegu usizidi nusu inch, na pia tray isizidi inchi 2. Eneo halipaswi kuwa giza na lisipate mwanga wa moja kwa moja. Unakuwa unazinyunyuzia maji kila baada ya masaa matatu, day time, ili kupata unyevunyevu. Tray iwe na matundu pembeni upande mmoja ili maji yatoke. Kuepusha fungus.

Mategemeo baada ya siku Nne unaweza anza wapa kuku.

Nitatoa mrejesho kadri navyoendelea.

Nililoweka jana saa 5 asubuhi na kuvundika saa 9 mchana. So kesho saa 9 mchana masaa 24 yatakuwa yamekamilika. Nategemea kuotesha. View attachment 1783622View attachment 1783623View attachment 1783624
Niliwahi kufanya, ngoja nirudie View attachment 2123931
IMG_20220219_140452_2.jpg

Day......1: soaking
 
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.

Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.

110846c.jpg

Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
DIY-Fodder4.jpg

Kuku wakila hydroponic fedder.

HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Ilo zao linapatikan wap kiongoz
 
Niko kimya kwa sababu, kwa mazingira ya sasa sio rahisi kuzalisha Hydroponic na ikapunguza gharama, na sababu ni kwamba nafaka hasa Shayri ni ghari sana. Ili uweze kweli kupunguza gharama inabidi shayri au ngano ununue kwa sh 300 hadi 400 kwa kilo, Tofauti na hapo hakuna tija kabisa
 
Wakuu kunasiku nilipost humu kuhusu Hydroponic techinology, Ila kama ilivyo kawaida yetu thread kama hizi huwa watu wanapotezea, Ila ukweli ni kwamba hii tekinolojia ni nzuri sana na inaweza kuwa ndo suluhisho pekee mpaka sasa la chakula cha mifugo.

Inaweza kukupunguzia gharama za chakula kwa 50% na kama tunavyo jua kwenye ufugaji hasa Kuku chakula kinabeba hadi asilimia 85 ya gharama zote za uendeshaji wa kuku.

110846c.jpg

Kanga wakiwa wanakula Hydroponic fodder.
DIY-Fodder4.jpg

Kuku wakila hydroponic fedder.

HYDROPONIC FODDER inaweza tumika kulishia aina zote za mifugo na hii ni njia rahisi sana na isiyo kuwa na gharama sana.
Naitajii hydroponic fertilizer 0714779185
 
Wadau, ni kampuni zipi kubwa ambazo naweza agiza vifaranga wa kuku chotara (F1) ?
 
Licha tu ya kupunguza gharama ya ufugaji, sababu chakula kinagharimu sana katika ufugaji wa wanyama tunaofugia ndani. Ila faida kubwa zaidi ni katika upatikanaji wa viinilishe vyote muhimu, ambavyo vitawezesha mnyama kuwa na afya bora pamoja na kukua vizuri. Na zaidi, mazao yote yatokanayo na hydroponics, huwa yapo katika viwango bora hasa kuzingatia afya ya mlaji na hata ladha nzuri.
 
Back
Top Bottom