Namaste, ila wa Tz twatia huruma hakuna cha maana tunacho kifanya zaidi ya kushabikia vyama vya Siasa na mpira.Kampuni ya magari kutoka Korea Hyundai, wameungana na Muhindi TVS kuleta "bajaji" za umeme ambazo unaweza ukazitumia kwa business au usafiri private. View attachment 3206052View attachment 3206054View attachment 3206055View attachment 3206056
Hyundai yeye atatoa engineering na technology wakati TVS atafanya assembly na marketing.
Bei na specifications zaidi bado hazijawekwa wazi.
Hapo kwenye designing hata kipanya amewashindaMbona wangeweza kufanya Vizuri zaidi kwenye Designing....!
Na kupost JF sio?Namaste, ila wa Tz TWATIA huruma hakuna cha maana tunacho kifanya zaidi ya kushabikia vyama vya Siasa na mpira.
Mimi sio m TanzaniaNa kupost JF sio?
Wewe Kama wewe umeshafanya nini cha kusaidia nchi kuondokana na Hali yetu ya sasa?
Then shut the fcuk upMimi sio m Tanzania
Na sisi ndio talanta yetu tuitumie!Namaste, ila wa Tz twatia huruma hakuna cha maana tunacho kifanya zaidi ya kushabikia vyama vya Siasa na mpira.
Yo have mental problems, na reply nacho jisikiaThen shut the fcuk up
Jifunze kudiscuss mambo na sio mwonekano wa watuKana sura mbaya kama mwenyekiti mpya wa chama chetu.
Kweli kwenye disigning wamekosea sanaKana sura mbaya kama mwenyekiti mpya wa chama chetu.
Crap….Yo have mental problems, na reply nacho jisikia
Other trees pinch.
Hiyo ni concept design au final product?Kampuni ya magari kutoka Korea Hyundai, wameungana na Muhindi TVS kuleta "bajaji" za umeme ambazo unaweza ukazitumia kwa business au usafiri private. View attachment 3206052View attachment 3206054View attachment 3206055View attachment 3206056
Hyundai yeye atatoa engineering na technology wakati TVS atafanya assembly na marketing.
Bei na specifications zaidi bado hazijawekwa wazi.