Hyundai wamezindua “Hyundai Ioniq 9 SUV”: Ni moja ya EV kubwa la kibabe sana!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Hyundai Ioniq series walifanya vizuri sana kwenye Ioniq 5 crossover, sasa wamewaletea Ioniq 9 SUV wapenzi wa EV.

Ni moja ya chuma nzuri kwa muonekano wa nje na ndani.

Ni nzuri kwa familia kubwa, ina rows 3 za seat, na watu zaidi ya 7 tunaweza kukaa ndani comfortably.

Ina kuja na battery kubwa la 110 kWh linatupa hadi range ya 630km.

Ndio kwanza wameizindua jana Los Angels Kwahiyo sifa zaidi zinakuja.

Mauzo take yataanza 2025.
 
Wakorea haya magari watauza hukohuko Kwa mabwana zao marekani.
Sisi Africa tunasubiri BYD za wachina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…