Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
When you hit the wall trust me no man will look at you twice and that will solve your problem.Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Eeeh ukiona hivo ujue nawashwa tehNdio maana unatoaga reply za kisirani humu jukwaani kumbe tatizo muwa!?😂
Unamuogopa Yesu au Es?Asantd Yesu kwa kunipa moyo wa uvumilivu na kukuogopa wewe.
Njoo tufunge, nipo tayari kila kitu kipo hadi shela bwana harusi tu ndo bado sijapata.Ufunge ndoa sasa
Ingewezekana, kwakweli ningekua donorMadam tupunguziane hamu hizo jamani.
Hamu zangu tangu u- teenager naona gragh haishuki pamoja ma majukumu ipo pale pale na muda mwingine naona inazidi tehEvelyn Salt ..... unajua the older we get as women the better the sex gets. You know why? We know our bodies better.... We know what tickles our fancy.... we know how to get the pleasure we desire and we are not afraid to take the leading roles.
Heck, we are older now.... more comfortable in our own skin. We have accepted our ecellulite and stretch makes and we wear them as trophies of motherhood. And in between all this.... sex gets better.
And when anything gets juicer..... we want it more. And more.
G
Wewe kitaalamu una high sex drive. Nafurahi kuona mnavyozidi kujitokeza zaidi. Kwa sasa kuna Evelyn Salt Demiss Kasie Money Penny
kapeace
nasubiria list zaidi
Evelyn Salt ..... unajua the older we get as women the better the sex gets. You know why? We know our bodies better.... We know what tickles our fancy.... we know how to get the pleasure we desire and we are not afraid to take the leading roles.
Heck, we are older now.... more comfortable in our own skin. We have accepted our ecellulite and stretch makes and we wear them as trophies of motherhood. And in between all this.... sex gets better.
And when anything gets juicer..... we want it more. And more.
Njoo tufunge, nipo tayari kila kitu kipo hadi shela bwana harusi tu ndo bado sijapata.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Njoo tufunge, nipo tayari kila kitu kipo hadi shela bwana harusi tu ndo bado sijapata.
Tupo wengi aisee
Mpendwa unajikaza hadi wiki ili iweje..Kama unagongana na mtu mmoja mme/boyfriend kuna shida gani?..Unless kama hiyo hali inamkera mwenza wako vinginevyo we kugegedwa tu mpendwa..
mmoja tu ndo iwe mara nyingi?Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.
Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
I THINK NAKUELEWA SANA!Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.
Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh
Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Ndio na zaidi.Unafanyaga hayo mkuu ?
Wanawake tunajua namna ya kumtega mwanaume.Anamtegaje sasa?