I am addicted to sex

I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijuiii....zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini, kula kulala kunanizidishia hamu majukumu yakija nyegezi zitayeyuka, ila sasa naanza kushtuka na kuona sio kawaida baada ya kujiona nazeeka na hamu zangu.

Nimeshajaribu kujijengea hobbies na vitu vingine naona holaaa, kidogo social media zimenisaidi nimeimprove kiasi naweza pitisha wiki, kwakweli wiki ni improvement kubwa kwangu yani wiki without kwichii kwichii kwichiii ooh hallelujah. Niwe na furaha, huzuni, raha karaha kazi ni moja tu....koh koh

Muda wangu mwingi nawaza na kuutumia kwenye dudu la yuyu, nikipanga kufanya ishu muhimu ntajivutaaa weee najizungusha weee ila kwenye hii kitu sipotezi hata sekunde, sijarogwa kweli? Nahitaji kubadilika niwe busy na mambo mengine, nifanye nini?
Mtakaonisema, nidhihaki na mengineyo namwachia alie juu.
Alamsik....
Hii ishu nilikimbiwa na mke kwasababu sikua na muda maalum iwe usiku iwe mchana tukikaa pamoja lazima tendo la ndoa lifanyike, ikafikia muda akawa anadai anaumia maana hapumziki.

Nilimvumilia siku za bleed tu, akanipa ruhusa ya kuongeza mke lakini bado haikusaidia ikatokea siku moja akaniaga anaenda kusalimia na hakurudi tena bahati nzuri huyu niliyebaki naye angalau anajimudu japo kuna muda anakataa kufanya tendo hilo.

Tafuta mtu wa kuzimaliza kiu zako pia epuka kujiingiza kwenye umalaya
 
Mara nyingi wanawake waliolazimishwa/ingiliwa kwa nguvu wakati wa utotoni na Wanaume wazima ndo huwa na hayo matatizo, huwa wanakuwa high sex drive, lkn inatibika ni trauma, tafuta clinical psychologist atakusaidia, uwe mkweli na historia ya maisha yako.

Nilishawahi kuwa na demu kama hiyo, baada ya kuona kwamba alikuwa na high sex drive klk kawaida nikaanza kuongea naye pole pole aliponiamini akafunguka na kuniambia kilichomtokea utotoni, inasikitisha sana.
Mi pia demu Wa hvo nko nae mpaka sasa,nae kipindi ana miaka 17-21 kabla ya kuzalishwa alikuwa na tabia ya kutembea na wababa wakubwa,sasa nko nae huu mwezi kama Wa 4 yaan toka tuwe pamoja anapenda sex hatari kila muda na kila Siku na anapenda nimfanye sana tena muda mrefu mpaka sasa nmeanza kuchoka,hana sku ambazo anaonekana ana stress,akiwa na mim ni sex tu
 
Mi pia demu Wa hvo nko nae mpaka sasa,nae kipindi ana miaka 17-21 kabla ya kuzalishwa alikuwa na tabia ya kutembea na wababa wakubwa,sasa nko nae huu mwezi kama Wa 4 yaan toka tuwe pamoja anapenda sex hatari kila muda na kila Siku na anapenda nimfanye sana tena muda mrefu mpaka sasa nmeanza kuchoka,hana sku ambazo anaonekana ana stress,akiwa na mim ni sex tu


Kuwa mwangalifu na usimuamini,
tumia condom muda wote, mara nyingi huwa wana Wanaume wengine na ni wajanja na waongo sana.
 
Kuwa mwangalifu na usimuamini,
tumia condom muda wote, mara nyingi huwa wana Wanaume wengine na ni wajanja na waongo sana.
Huyu mtoto aliniteka faster, nilikuwa mtumiaji mzuri Wa kondomu,siku ya kwanza tulifanya mapenzi bila kutarajia sikutumia kondomu,siku zilizofata nkaweka kimgomo kuwa kufanya mapenzi tena mpaka tupime,ikatokea nikawa busy baadae nkamwambia tukapime akanionesha kipimo kuwa yeye tayari keshapima majibu yalkuwa poa,na Mimi nkaenda kupima peke yangu,lakin nkikumbuka story zake za maisha alyopitia naogopa sana na sasa nshakuwa mwoga kupma tena,ila yeye huwa ana nisihi tukapime pamoja
 
Umepost uzi then Mentor anaangalia comments za wadau anachekaaa...Mbaya zaidi anaingia na kule pm anakutana na vijana wa if basi anajichekea tu.
 
Hii ishu nilikimbiwa na mke kwasababu sikua na muda maalum iwe usiku iwe mchana tukikaa pamoja lazima tendo la ndoa lifanyike, ikafikia muda akawa anadai anaumia maana hapumziki.

Nilimvumilia siku za bleed tu, akanipa ruhusa ya kuongeza mke lakini bado haikusaidia ikatokea siku moja akaniaga anaenda kusalimia na hakurudi tena bahati nzuri huyu niliyebaki naye angalau anajimudu japo kuna muda anakataa kufanya tendo hilo.

Tafuta mtu wa kuzimaliza kiu zako pia epuka kujiingiza kwenye umalaya
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom