I am addicted to Single Mothers

I am addicted to Single Mothers

Single Mother's nao ni binadamu kama binadamu wengine tafuta mmoja ufunge naye ndoa kama dini yako inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja siyo mbaya ukaongeza na wengine, kila lakheri.
 
A
Umri mzuri wa kuoa ni around 25-30, Ikiwa umejipanga vizuri.Ili kwamba uwe na uwezo wa kuwalea Watoto vizuri,na kumpa dozi inayotakiwa mkeo.Ukichelewa sana kuoa Kuna Watoto utashindwa kuwalea vema, unless utazaa mtoto mmoja tu au wawili.Mke naye labda uoe mkubwa mwenzio,ukioa dogo dogo Vijana watakusaidia kumpa dudu kwasababu wewe nguvu zitakuwa zinaishia.
Africa na umasikini wetu akili zetu huwa ni kuzaa tuuu.

Tafuta hela jombaaa u "enjoy" life.

Umekuja mwenyewe utaondoka mwenyewe.

Haya mengi ni ya ziada.

Nani kakwambia ukiwa na mke na watoto ndio umeyapatia.

Kuna walioa wanajuta Kuna waliozaa wanajuta kuzaa watoto wasioleweka.

Nina miaka 31 na sifikirii kabisa kuoa.

Na kuoa hakuna formula jombaa.

Hayo ya umri ni mawazo YAKO.

Kuna mwengine aliniambia umri sahihi wa kuoa ni miaka 28 mpaka 35.

Sasa nimsikilize yeye au wewe?

Kifupi hebu ISHI MAISHA YAKO ULIYO NAYO SASA.

#YNWA
 
Unapenda kununua uchi kutoka kwa malaya wenye watoto.
Ni wanawake pia wanahitaji fadhila.

Maana hata huyo asiye na mtoto ukute ni mama wa marehemu aliye muua yeye mwenyewe..!!!

Wa bure wapo kibaoo, Ila nao pia wanahitaji huduma.

#YNWA
 
Single Mother's nao ni binadamu kama binadamu wengine tafuta mmoja ufunge naye ndoa kama dini yako inaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja siyo mbaya ukaongeza na wengine, kila lakheri.
Nop siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto abadani.

Ngoja tu niendelee kuwala.

#YNWA
 
A

Africa na umasikini wetu akili zetu huwa ni kuzaa tuuu.

Tafuta hela jombaaa u "enjoy" life.

Umekuja mwenyewe utaondoka mwenyewe.

Haya mengi ni ya ziada.

Nani kakwambia ukiwa na mke na watoto ndio umeyapatia.

Kuna walioa wanajuta Kuna waliozaa wanajuta kuzaa watoto wasioleweka.

Nina miaka 31 na sifikirii kabisa kuoa.

Na kuoa hakuna formula jombaa.

Hayo ya umri ni mawazo YAKO.

Kuna mwengine aliniambia umri sahihi wa kuoa ni miaka 28 mpaka 35.

Sasa nimsikilize yeye au wewe?

Kifupi hebu ISHI MAISHA YAKO ULIYO NAYO SASA.

#YNWA
Sawa,kazi kwako,kuchagua kusuka ama kunyoa.
 
Kitendo cha kutoa penzi pasi na kuwepo kwa ''genuine desire" ni "transactional sex"

Mwanamke yeyote yule duniani ambaye anatoa penzi kwa lengo la kupata bidhaa, huduma au pesa ni "Malaya"

Malaya anaweza akawa mwanamke yeyote yule - awe ameolew, aja olewa, single maza, double maza nk.

Kimsingi ndugu yangu Liverpool VPN yuko addicted na Malaya.
 
Kitendo cha kutoa penzi pasi na kuwepo kwa ''genuine desire" ni "transactional sex"

Mwanamke yeyote yule duniani ambaye anatoa penzi kwa lengo la kupata bidhaa, huduma au pesa ni "Malaya"

Malaya anaweza akawa mwanamke yeyote yule - awe ameolew, aja olewa, single maza, double maza nk.

Kimsingi ndugu yangu Liverpool VPN yuko addicted na Malaya.

Huyo 'dabo maza' ndiye yupi mkuu![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitendo cha kutoa penzi pasi na kuwepo kwa ''genuine desire" ni "transactional sex"

Mwanamke yeyote yule duniani ambaye anatoa penzi kwa lengo la kupata bidhaa, huduma au pesa ni "Malaya"

Malaya anaweza akawa mwanamke yeyote yule - awe ameolew, aja olewa, single maza, double maza nk.

Kimsingi ndugu yangu Liverpool VPN yuko addicted na Malaya.
Hiiiiiii bagoshaaaaa...😩😩😩😩

There are women to, wanahitaji tulizo na ndilo nalowapatia jamani.

#YNWA
 
Back
Top Bottom