I am depressed. Naombeni ushauri

Yan unajua kbsa umemzid mumeo mshahara then unakuja na matakwa kibao...unajichagulia the easy way out...lipa ada mm ntalipa usafiri na uniform!!

Hv unajua akili zetu wanaume zinavyofanya kazi kwel!?

Swal moja naomba kukuuliza...hyo shule ni nani aliye suggest!?
 
hakuna mwanamke duniani ataweza kuishi na mwanamme ambaye amemzid kipato ivyo kosa kubwa sana yeye kukwambia mshahara wake ushauri hapo hakuna ndoa kwa kuwa mwanamke anahitaji atawaliwe sio kutawala bila Mungu kuwa ndan yenu basi no love no ndoa
 
Kama una miaka 40+ mbona changamoto ndogo ndogo zinawasumbua unazani biashara ni ya kila mtu MSHUKURU MUNGU amekwambia mapema mwingine Anaweza kulima, kuchunga n'gombe kusimamia shughuli Fulani na vingine binafsi naomba jambo la kawaida sio vyema
 
Ukiufuata ushauri huu unakaribisha changamoto nyingine ........hauna Afya ya ndoa yako.
 
Duuuuh. Pole Mama.

Usipate presha wala stress.

Kama wewe unaweza kufanya biashara, wewe fanya. Kama anaweza kukusapoti na hakuzuii.
Muhimu zingatia upendo kutoka kwake na wewe Muheshimu hivyo hivyo alivyo. Hayo ndio mapungufu yake.

Mfano.
Kuna familia moja Baba mwenye nyumba hafanyi Kazi yoyote na sio kwamba hana nguvu hapana yupo vyema Kabisa. Yeye ni mitungi muda wote. Mama ndio anapambana, ila huwezi amini ukiwakuta wanavyoishi, Mama humwambii kitu kuhusu Mzee na Mzee humwambii kitu kuhusu Mke wake.

Na familia yao imebarikiwa.

Asante
 
Ukiufuata ushauri huu unakaribisha changamoto nyingine ........hauna Afya ya ndoa yako.
Sasa unataka nimshauri nini? Wew unaona myu yulo 40+ bado wako nyumbaji

Pili bado mshahara 2.3 na hana maisha ya kutengeneza ya baadae

Tatu kashazungumza sana na mume wake

Sijamshauri aachane na mume wake, nimemshauri atengeneze maisha ya mwanane...afya gani ya ndoa walati ndoa yenyew hapo ilipo haina afya
 
😊😊😊 una akili mno.
 
Mshahara wako 2.3m
Mshahara wa mume 800k
Ada alipe mume wewe ulipe nauli na uniform.
Umri 40+
Kitendo Cha kumzidi mume mshahara tu kila atakalofanya mwanaume kwako halina maana kiufupi lazima ulazimishe mwanaume afanye unavotaka wewe.
Lazima uwe na stress kwa sababu shida Wala sio hizi ulizoeleza shida ni mwanaume amegoma kuendeshwa ni kwamba Kuna namna unataka mwanaume afanye kwa mawazo yako, Kama unabisha inaingiaje akilini watu wenye 40+ washindwe kuelewana ndani ya nyumba mpaka uandike kuomba msaada online!
Jibu ni kuwa wote mnajiona kichwa wa familia.
Hebu kuwa mke wa familia Kama utapata stress.
 
Nahisi hili yeye halitaki anataka kila mmoja aingize cha kwake sio kutegemeana kwenye kitu kimoja, mimi ningemshauri tu hamvumilie jamaa labda kuna mambo anayaweka sawa bila kujitangaza tangaza ikifika muda atamwambia tu
 
Nadhani mnaishi ki vampire hasa wewe yawezekana ndo una sauti kuliko yeye(sina hakika)
Mwanaume mwingine anaweza kujifanya anakuunga mkono ili kuondoa kero zako ambazo akikupinga inakuwa wimbo ili kuepusha hayo anakukubali without any Action na muda mwingine anasahau kabisa kwamba mmewahi jadiri kitu flani.


Kaa nae vizuri ongea nae vzr mpe utawala wake kama mme muulize yeye anapenda kitu gani na usikurupuke jifanye kama huna habari na yote haya.

Kuhusu mtoto Msikilize yeye anataka shule ya kiwango gani cha ada na yeye ana ngapi na muafikiane shule ipi nzuri mkubaliane kwa pamoja. Wanawake wengi mnapenda kuiga kila kitu hapa ndo kuna tofauti sana na wanaume wewe unaweza kuvutiwa na watoto wa shost yako tu kisa wanasoma sehemu fln ukataka nawewe wa kwako waende hapo bila kujari hali ya uchumi mlio nao wewe na mmeo.

Usiombe hela kwa kaka zake. hata yeye ana akili usimuendeshe unavyotaka wewe bali kaaeni kama mme na mke myajenge.Hakuna mtu wa ku solve matatizo yenu isipokuwa ninyi wenyew
 
sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…