Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kalipe ada kwanza mtoto aende shule acha ubahili wewe maza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una miaka 40+ mbona changamoto ndogo ndogo zinawasumbua unazani biashara ni ya kila mtu MSHUKURU MUNGU amekwambia mapema mwingine Anaweza kulima, kuchunga n'gombe kusimamia shughuli Fulani na vingine binafsi naomba jambo la kawaida sio vyemaHabari great thinkers.
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu sana humu, ila imenilazimu nijiunge ili nitoe nilichonacho maana ninahisi kuzidiwa moyoni sipati kulala usiku. Nahitaji ushauri.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 6, nimeolewa miaka 8 iliyopita, nyumba tunayoishi tumepewa na mama mkwe kwa hiyo hatujajenga na wala hatulipi kodi. Najua unajiuliza hizi information za nini leta hoja, sawa nakuja na hoja.
Ni hivi mume wangu ana kipato cha kawaida tu kwa mwezi labda laki 8 take home. Binafsi nina kipato kwa mwezi kama 2.3m take home. baada tu ya kufunga ndo mume wangu alipoteza kazi kwahiyo alikaa nyumbani kuanzia 2017 akaja kupata kazi 2021 lakini tuliiishi bila shida.
Yeye kwao ni last born ana kaka na dada. Mimi kwetu ni wa pili kuzaliwa ila nahudumia wazazi pia. Kipindi yupo nyumbani ni kamwambia aongee na kaka yake amuazime mtaji wa kufanya biashara lakini mwenzangu alikuwa akikaa kimya, so miaka ikaenda mpaka alivyokuja kupata kazi.
Mwaka jana mwishoni nikagusia tena na kumpa idea ya biashara na alionekana kuipenda sana akasema sawa, na hiyo mwaka jana nilimwambia kwa kuwa mtoto anaingia darasa la kwanza hatuwezi kutegemea mshahara pekee. Ingawa mimi nimefungua biashara ila bado changa na pia ninafanyaga tender za kuprint, kufunga zawadi na kadhalika.
Mtoto tumemtafutia shule kwa pamoja na ada alikuwa anaijua tangu Novemba, nikamwmabia ngoja nikupunguzie mzigo nitalipia usafiri na uniform akasema sawa.
Nikawa namkumbusha kulipa ada anasema anakumbuka. juzi jumapili anasema hiyo ada kubwa sana hatoweza hiyo shule, imagine bado wiki shule zifunguliwe.
Baadae nikamuuliza kuhusu ile idea ya biashara vipi? mana haijalishi mtoto anasoma wapi jinsi anavyozidi kukua madarasa ndivyo gharama zinazidi, akasema mi mambo ya biashara siyawezi wala sijawahi kuyawaza, duuh nikabaki nimetoa macho, nikamuuliza mbona ile idea uliipenda na ukasema utaifanya utamuazima kaka yako mtaji akasema mi siwezi hayo mambo.
Haa, moyo wangu uliinama sana tangu hiyo siku nina mawazo sipati usingizi. Najiuliza niongee na kaka yake au dada yake wamshauri kama hawezi kutegemea kukua kimaendeleo kwa mshahara tu au nibaki nalo? na nikibaki nalo nifanyeje?
Hawazi kujenga, hawazi kununua kiwanja, 2024 january nilimwambia tuweke kiasi cha fedha kwa ajili ya kununua kiwanja akaweka mwezi wa kwanza nadhani kwa kuwa nilimkalia kooni.
Baada ya hapo akawa hawezi kuna siku nikamuuliza akasema mi niache tu na hayo mambo. Nikaacha nikaendelea mwenyewe, ila peke yangu nguvu ni ndogo.
Naombeni ushauri jamani mimi ni mtu mzima nina 40+ nashindwa kuomba ushauri wa rafiki zangu mana ndo yataenezwa.
Nadhani ninaweza pata depression kama ningebaki navyo moyoni kichwa kinauma kwa kuwaza.
Naombeni ushauri tafadhali.
Ukiufuata ushauri huu unakaribisha changamoto nyingine ........hauna Afya ya ndoa yako.Nunua kiwanja kwa sababu mshahara wako unaruhusu. Kama mwenzako hajaamka utasubiri aamke, anaweza kuja kukumbuka shuka kumeshakucha
Fanya hivi kwa ajili ya mwanao. Life goes on, mwache aishi anavyotaka yeye.
Ila vitu unavyonunua andikisha majina yako na mtoto wako, kisha weka hati ummya kiwanja mbali huyu kifaza kisije kuuza
Unakaaje nyumbani 40+, hapo ndipo tatuzo linaanza
Sasa unataka nimshauri nini? Wew unaona myu yulo 40+ bado wako nyumbajiUkiufuata ushauri huu unakaribisha changamoto nyingine ........hauna Afya ya ndoa yako.
😊😊😊 una akili mno.Pole.
Mimi naona hamna haja yeye kuanza kuzunguka kwa kaka yake kuomba mtaji. Nyie wawili kama mke na mume ndio mlitakiwa msaidiane kwa kila hali. Mngetafuta namna ya kutumia mshahara wako na wake mpate ya biashara na msiwe na biashara ya mke au ya mume kuweni na biashara ya familia.
Jidanganye eti wife materialwife material kama hawa wanapatikana wapi??
kwanini mkuu huoni dada ni mpambanaji na anajali familiaJidanganye eti wife material
Nahisi hili yeye halitaki anataka kila mmoja aingize cha kwake sio kutegemeana kwenye kitu kimoja, mimi ningemshauri tu hamvumilie jamaa labda kuna mambo anayaweka sawa bila kujitangaza tangaza ikifika muda atamwambia tuPole.
Mimi naona hamna haja yeye kuanza kuzunguka kwa kaka yake kuomba mtaji. Nyie wawili kama mke na mume ndio mlitakiwa msaidiane kwa kila hali. Mngetafuta namna ya kutumia mshahara wako na wake mpate ya biashara na msiwe na biashara ya mke au ya mume kuweni na biashara ya familia.
Wewe kwa akili ndogo watu mishahara 2.3 vs 800k bado Wanaka nyumba ya kupewa Kuna upambanaji hapo!kwanini mkuu huoni dada ni mpambanaji na anajali familia
sawaSasa unataka nimshauri nini? Wew unaona myu yulo 40+ bado wako nyumbaji
Pili bado mshahara 2.3 na hana maisha ya kutengeneza ya baadae
Tatu kashazungumza sana na mume wake
Sijamshauri aachane na mume wake, nimemshauri atengeneze maisha ya mwanane...afya gani ya ndoa walati ndoa yenyew hapo ilipo haina afya