Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nadhani ninaweza pata depression kama ningebaki navyo moyoni kichwa kinauma kwa kuwaza.
Unadhani huyo mumeo ndio hana hiyo depression?
Ndoa huwa ni ya wawili, wekeza nguvu kwenye ndoa yako maana nimeona umeandika sehemu kubwa ya mshahara wako umewekeza kusaidia wazazi na ndugu...