UBINAFSI WA MWANMKE ULIANZIA HAPA!!!!Pole.
Mimi naona hamna haja yeye kuanza kuzunguka kwa kaka yake kuomba mtaji. Nyie wawili kama mke na mume ndio mlitakiwa msaidiane kwa kila hali. Mngetafuta namna ya kutumia mshahara wako na wake mpate ya biashara na msiwe na biashara ya mke au ya mume kuweni na biashara ya familia.
Ni mpangilio tu mkuu hata kibongo inawezekanaKibongo bongo hili ni gumu sana ~ kupanga kabla ya kuoana huku kwetu ni jambo ambalo limekaa mbali mno na upeo wetu wa kufikiri
Ni kama hatujui maisha ni nini, na nadhani hili linachangiwa sana na wazazi . Ujue mzazi wa kiafrika anaweza kuwa anamlipia mwanae ada kubwa sana shuleni lakini hajui hata ni kwanini mwanae huyo anasoma!Tunakwenda kwa kutegemea kudra kudra tu.
Kuna rafiki yangu Mtanzania anaishi Australia aliniambia yeye hata kuoa alijiuliza sana kwa nini aoe? Mpaka akajiridhisha.Ni kama hatujui maisha ni nini, na nadhani hili linachangiwa sana na wazazi . Ujue mzazi wa kiafrika anaweza kuwa anamlipia mwanae ada kubwa sana shuleni lakini hajui hata ni kwanini mwanae huyo anasoma!
Nakumbuka miaka ya ujana wangu wakati naoa, fikra yangu kubwa sana ilikuwa ni mwanamke anizalie watoto halafu baas 😆. Undani wa majukumu hasa ya baba na mama katika kuijenga familia sikuwa nawazia saana Wala kudadavua akilini hadi nimekuja kupata mtoto wa pili keshakuwa tunataraji kuongezea watatu, majukumu ya shule yanadai ada, uniforms na mengineyo ndio akili inakaa sawa.
Mzazi ambaye hawezi hata kukagua ni nini mwanae anaandika katika madaftari yanayogharimu pesa nyingi. Mzazi asiyeuliza mwaswali kwa mwanae, kama vile unasoma ili iweje? Unatamani uje kuwa nani?
shule alisuggest yeye kwa kuwa alikuwa anataka shule iliyo chini ya kanisa.Yan unajua kbsa umemzid mumeo mshahara then unakuja na matakwa kibao...unajichagulia the easy way out...lipa ada mm ntalipa usafiri na uniform!!
Hv unajua akili zetu wanaume zinavyofanya kazi kwel!?
Swal moja naomba kukuuliza...hyo shule ni nani aliye suggest!?
Habari great thinkers.
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu sana humu, ila imenilazimu nijiunge ili nitoe nilichonacho maana ninahisi kuzidiwa moyoni sipati kulala usiku. Nahitaji ushauri.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 6, nimeolewa miaka 8 iliyopita, nyumba tunayoishi tumepewa na mama mkwe kwa hiyo hatujajenga na wala hatulipi kodi. Najua unajiuliza hizi information za nini leta hoja, sawa nakuja na hoja.
Ni hivi mume wangu ana kipato cha kawaida tu kwa mwezi labda laki 8 take home. Binafsi nina kipato kwa mwezi kama 2.3m take home. baada tu ya kufunga ndo mume wangu alipoteza kazi kwahiyo alikaa nyumbani kuanzia 2017 akaja kupata kazi 2021 lakini tuliiishi bila shida.
Yeye kwao ni last born ana kaka na dada. Mimi kwetu ni wa pili kuzaliwa ila nahudumia wazazi pia. Kipindi yupo nyumbani ni kamwambia aongee na kaka yake amuazime mtaji wa kufanya biashara lakini mwenzangu alikuwa akikaa kimya, so miaka ikaenda mpaka alivyokuja kupata kazi.
Mwaka jana mwishoni nikagusia tena na kumpa idea ya biashara na alionekana kuipenda sana akasema sawa, na hiyo mwaka jana nilimwambia kwa kuwa mtoto anaingia darasa la kwanza hatuwezi kutegemea mshahara pekee. Ingawa mimi nimefungua biashara ila bado changa na pia ninafanyaga tender za kuprint, kufunga zawadi na kadhalika.
Mtoto tumemtafutia shule kwa pamoja na ada alikuwa anaijua tangu Novemba, nikamwmabia ngoja nikupunguzie mzigo nitalipia usafiri na uniform akasema sawa.
Nikawa namkumbusha kulipa ada anasema anakumbuka. juzi jumapili anasema hiyo ada kubwa sana hatoweza hiyo shule, imagine bado wiki shule zifunguliwe.
Baadae nikamuuliza kuhusu ile idea ya biashara vipi? mana haijalishi mtoto anasoma wapi jinsi anavyozidi kukua madarasa ndivyo gharama zinazidi, akasema mi mambo ya biashara siyawezi wala sijawahi kuyawaza, duuh nikabaki nimetoa macho, nikamuuliza mbona ile idea uliipenda na ukasema utaifanya utamuazima kaka yako mtaji akasema mi siwezi hayo mambo.
Haa, moyo wangu uliinama sana tangu hiyo siku nina mawazo sipati usingizi. Najiuliza niongee na kaka yake au dada yake wamshauri kama hawezi kutegemea kukua kimaendeleo kwa mshahara tu au nibaki nalo? na nikibaki nalo nifanyeje?
Hawazi kujenga, hawazi kununua kiwanja, 2024 january nilimwambia tuweke kiasi cha fedha kwa ajili ya kununua kiwanja akaweka mwezi wa kwanza nadhani kwa kuwa nilimkalia kooni.
Baada ya hapo akawa hawezi kuna siku nikamuuliza akasema mi niache tu na hayo mambo. Nikaacha nikaendelea mwenyewe, ila peke yangu nguvu ni ndogo.
Naombeni ushauri jamani mimi ni mtu mzima nina 40+ nashindwa kuomba ushauri wa rafiki zangu mana ndo yataenezwa.
Nadhani ninaweza pata depression kama ningebaki navyo moyoni kichwa kinauma kwa kuwaza.
Naombeni ushauri tafadhali.
Asante kwa ushauri. Kukopa bank hataki na hata kukopa kazini kwao hataki anasema hataki kujiingiza kwenye mikopo. sijaomba ushauri kwa yoyote nahisi nitadhalilisha familia.Pole dada mkubwa Sasa kimsingi mimi Sina ushauri mkubwa zaidi ya kukwambia
👉 (tafadhali hizo ni dharau Yani mwanaume Ana mshahara afu akakope kwa ndugu yake? Haiji akilini bank zipo mwambie shemeji yetu akakope huko kwenye taasisi kukopa na watu ni kutafuta lawama baadae
👉Usije ukaomba ushauri kwa marafiki zako au marafiki ama ndugu mbaya/adui muharibifu wa mahusiano huwa hatoki mbali
👉Biashara si kwa ajili ya Kila mtu (huyo mwenzio Hana entrepreneur spirit)
Sasa basi (kuwa na kifua hayo ni mambo madogo sister mkubwa)
Am done
kipato changu na chake ni vya familia vyote.(sio kwa ubaya) Je kipato chako ni chako au ni kipato cha familia, kama ilivyo kwa mume wako kuwa kipato chake ni cha famili?
Shida naiona kwako Na Sio Kwa mumeo unamforce mumeo aishi Maisha ambayo Hana uwezo nayo na hayaendan Na kipato chake,pia umemnyang'anya mumeo nafasi yake kwenye nyumba......wewe ndo umekua mwanaume uko ndani Na unataka mumeo akutio weeewe Na kufanya kila unachotaka ....badilika mrudishie mumeo nafasi yake alafu Uwe Na utulivuu ....kuwa mwanamke acha mumeo awe mwanaume....ukiendelea ivi ndoa inaweza vunjikaHabari great thinkers.
Nimekuwa msomaji kwa muda mrefu sana humu, ila imenilazimu nijiunge ili nitoe nilichonacho maana ninahisi kuzidiwa moyoni sipati kulala usiku. Nahitaji ushauri.
Mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miaka 6, nimeolewa miaka 8 iliyopita, nyumba tunayoishi tumepewa na mama mkwe kwa hiyo hatujajenga na wala hatulipi kodi. Najua unajiuliza hizi information za nini leta hoja, sawa nakuja na hoja.
Ni hivi mume wangu ana kipato cha kawaida tu kwa mwezi labda laki 8 take home. Binafsi nina kipato kwa mwezi kama 2.3m take home. baada tu ya kufunga ndo mume wangu alipoteza kazi kwahiyo alikaa nyumbani kuanzia 2017 akaja kupata kazi 2021 lakini tuliiishi bila shida.
Yeye kwao ni last born ana kaka na dada. Mimi kwetu ni wa pili kuzaliwa ila nahudumia wazazi pia. Kipindi yupo nyumbani ni kamwambia aongee na kaka yake amuazime mtaji wa kufanya biashara lakini mwenzangu alikuwa akikaa kimya, so miaka ikaenda mpaka alivyokuja kupata kazi.
Mwaka jana mwishoni nikagusia tena na kumpa idea ya biashara na alionekana kuipenda sana akasema sawa, na hiyo mwaka jana nilimwambia kwa kuwa mtoto anaingia darasa la kwanza hatuwezi kutegemea mshahara pekee. Ingawa mimi nimefungua biashara ila bado changa na pia ninafanyaga tender za kuprint, kufunga zawadi na kadhalika.
Mtoto tumemtafutia shule kwa pamoja na ada alikuwa anaijua tangu Novemba, nikamwmabia ngoja nikupunguzie mzigo nitalipia usafiri na uniform akasema sawa.
Nikawa namkumbusha kulipa ada anasema anakumbuka. juzi jumapili anasema hiyo ada kubwa sana hatoweza hiyo shule, imagine bado wiki shule zifunguliwe.
Baadae nikamuuliza kuhusu ile idea ya biashara vipi? mana haijalishi mtoto anasoma wapi jinsi anavyozidi kukua madarasa ndivyo gharama zinazidi, akasema mi mambo ya biashara siyawezi wala sijawahi kuyawaza, duuh nikabaki nimetoa macho, nikamuuliza mbona ile idea uliipenda na ukasema utaifanya utamuazima kaka yako mtaji akasema mi siwezi hayo mambo.
Haa, moyo wangu uliinama sana tangu hiyo siku nina mawazo sipati usingizi. Najiuliza niongee na kaka yake au dada yake wamshauri kama hawezi kutegemea kukua kimaendeleo kwa mshahara tu au nibaki nalo? na nikibaki nalo nifanyeje?
Hawazi kujenga, hawazi kununua kiwanja, 2024 january nilimwambia tuweke kiasi cha fedha kwa ajili ya kununua kiwanja akaweka mwezi wa kwanza nadhani kwa kuwa nilimkalia kooni.
Baada ya hapo akawa hawezi kuna siku nikamuuliza akasema mi niache tu na hayo mambo. Nikaacha nikaendelea mwenyewe, ila peke yangu nguvu ni ndogo.
Naombeni ushauri jamani mimi ni mtu mzima nina 40+ nashindwa kuomba ushauri wa rafiki zangu mana ndo yataenezwa.
Nadhani ninaweza pata depression kama ningebaki navyo moyoni kichwa kinauma kwa kuwaza.
Naombeni ushauri tafadhali.
Una mshahara wa 2.3 m, yeye ana mshahara wa laki 8. - ndio na kama umesoma kuna sehemu nimemmjibu mtu kuwa mshahara wangu ninakatwa
Umefungua biashara yako bado changa.
Umempeleka mtoto shule ya gharama ila wewe utachangia usafiri na uniform.
Umempa wazo afungue biashara ila mtaji akaazime kwao.
Ushauri wangu mpende mume wako kwani mpo pamoja ila sio wamoja.
ndio ila kama umesoma kuna mtu nimemjibu kuwa mshahara wangu ninahudumia wazazi wangu pia ninakatwa bima ya wazazi na mkwe kinachobaki ndo kinawekwa mezani kama familia. Pili biashara nilichukua mkopo kazini ambapo pia nakatwa na nilimshirikisha. nimempa wazo la biashara ila mtaji akaazime kwa kuwa kinachobaki hakitoshi kufungua hiyo biashara kwahiyo ili kitoshe inabidi kuazima au kukopa ambapo yeye hataki kukopa.Una mshahara wa 2.3 m, yeye ana mshahara wa laki 8.
Umefungua biashara yako bado changa.
Umempeleka mtoto shule ya gharama ila wewe utachangia usafiri na uniform.
Umempa wazo afungue biashara ila mtaji akaazime kwao.
Ushauri wangu mpende mume wako kwani mpo pamoja ila sio wamoja.
Hapa unakosea mkuu. sijawahi mforce kufanya kitu tunafanya kwa uwezo wake na sio uwezo wangu. hata hiyo shule alichagua yeye na sio mimi. kwa kifupi nyumba imetawaliwa na mume wangu mimi nipo chini yake sijawahi kujikweza hata siku moja.Shida naiona kwako Na Sio Kwa mumeo unamforce mumeo aishi Maisha ambayo Hana uwezo nayo na hayaendan Na kipato chake,pia umemnyang'anya mumeo nafasi yake kwenye nyumba......wewe ndo umekua mwanaume uko ndani Na unataka mumeo akutio weeewe Na kufanya kila unachotaka ....badilika mrudishie mumeo nafasi yake alafu Uwe Na utulivuu ....kuwa mwanamke acha mumeo awe mwanaume....ukiendelea ivi ndoa inaweza vunjika
ndio kwetu mimi ndo tegemezi tupo wanne lakini mimi ndo tegemezi. kuhusu mchango tulifungua UTT account mimi nilichanga miezi yote 12 ya mwaka 2024 kulingana na kiwango tulichokubaliana lakini yeye aliweka mwezi mmoja nikimkumbusha anasema niachane na hayo mambo.Hivi mil 2.3 + laki nane kwa mwezi mnapata sh. ngapi?, huyo mtoto mmemtafutia shule ya milion ngapi, huko kwenu wewe mwanamke unasaidia kila siku? hamlipi kodi mnakaa bure, bado asumbuke kwenda kuomba mtaj kwa kaka zake? wewe mchango wako ni kutoa huo ushauri? ulimkalia kooni kuhusu kiwanja akatunza hela mwezi mmoja wewe ulitunza sh. ngapi kwa huo mwezi kama na wewe kweli uko serious kupata kiwanja, hivi unajua hiyo nyumba unayokaa na mume na mumeo sio yako? siku akidondoka utafukuzwa maana mumeo haikujenga Amka tumia akili, kwenu huwezi kumaliza kusaidia tengeneza future ya watoto wako, usiseme sijakuambia, hiyo depression unajitafutia mwenyewe
rejea majibu niliyotoa. kuhusu jinsia mimi ni mwanamke.UBINAFSI WA MWANMKE ULIANZIA HAPA!!!!
Kulikua na mantiki gani yeye kumpa wazo mumewe wakati mshahara wake kwa saving hata ya miezi 6 wangepata wakunza biashara?
Halafu sina imani na mwandishi kama kweli mwanmke!!
Mzee wa shortcut 🤣Si umuache ya nini kujitesa?
Wewe umeshajua uhalisiaShida naiona kwako Na Sio Kwa mumeo unamforce mumeo aishi Maisha ambayo Hana uwezo nayo na hayaendan Na kipato chake,pia umemnyang'anya mumeo nafasi yake kwenye nyumba......wewe ndo umekua mwanaume uko ndani Na unataka mumeo akutio weeewe Na kufanya kila unachotaka ....badilika mrudishie mumeo nafasi yake alafu Uwe Na utulivuu ....kuwa mwanamke acha mumeo awe mwanaume....ukiendelea ivi ndoa inaweza vunjika
Kwa huu ushauri lazima 2024 limekukuta jambo utakua uliingia anga za wahuni ,Si umuache ya nini kujitesa?