I am flying without wings

I am flying without wings

Fly ndugu pengine ndio mwenzako Mungu aliyekupa
hata Jay z na Bey wengi walisema mengi lakini ni mwaka wa kumi sasa they are flying without wings.
 
Fly ndugu pengine ndio mwenzako Mungu aliyekupa
hata Jay z na Bey wengi walisema mengi lakini ni mwaka wa kumi sasa they are flying without wings.


Asante mwaya kwa kunitakia heri, ubarikiwe sana
 
Hongera mwaya mdogo wangu nakuombea kheri yazidi kukua siku hadi siku. Kumbuka kuyapalilia kila siku.
 
congrats jamaa yako inawezekana anatumia hii technique



385221_223708997702954_142304782510043_547340_1513791872_n.jpg

 
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele.

Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda akikujulia, ninaweza kusema i am flying without wings, mnaweza kujumuika kufurahi pamoja nami, hata kama ulienae anakupa karaha usijal iko siku utapata wa kukupa raha kama ninazopata mimi.

Muwe na wakati mwema.

Hongera zako...Kula raha zako za kupenda na kupendwa....saa zote hujawa na tabasamu tu tena la kukata na shoka.

 
Last edited by a moderator:
Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda akikujulia, ninaweza kusema i am flying without wings, mnaweza kujumuika kufurahi pamoja nami, hata kama ulienae anakupa karaha usijal iko siku utapata wa kukupa raha kama ninazopata mimi. Muwe na wakati mwema.

Vizuri sana... Lakini kumbuka don't take it for granted......

Hata zile flowers nzuri saaana zenye kuburudisha macho na kupendezesha kwa harufu nzuri, behind the scene kuna kazi kubwa ya kuyatunza, kumwagilia maji, mbolea na kuvumilia zile siku zenye jua kali ambalo hufanya afya ya maua kuzorota.. basi mtunza maua huwa na subira na busara ya kuongeza maji na mbolea.........
 
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele.

Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda akikujulia, ninaweza kusema i am flying without wings, mnaweza kujumuika kufurahi pamoja nami, hata kama ulienae anakupa karaha usijal iko siku utapata wa kukupa raha kama ninazopata mimi.

Muwe na wakati mwema.

kwenye Blue bold... una maanisha nini? labda eleza jinsia yako maana inawezekana unataka mwingine wa nje ya furaha ujumuike nae.
 
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele.

Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda akikujulia, ninaweza kusema i am flying without wings, mnaweza kujumuika kufurahi pamoja nami, hata kama ulienae anakupa karaha usijal iko siku utapata wa kukupa raha kama ninazopata mimi.
Muwe na wakati mwema.

Ngumi zikianza tujulishe mkuu.
 
well, shit hapens! bt men are just men, stay focused, tehe tehe,,,
 
Dada/kaka utumie muda huu unitakie heri mwenzako lakini sio kunipa maneno kama hayo, ukweli nina raha sana isiyoelezeka kwa maneno
ishu sio kukukatisha tamaa..unajua hata ndege huwa inakitu inachoifanya iruke...injini ambayo nayo inatumia mafuta..so ili iendelee kuruka ni lazima mahitaji yake yoote yatimizwe..so nilivyokwambia hivi maana yangu ni kuwa wooote tunaanziaga huko huko ila wengi sana huwa wanashindwa kuiendeleza hali hiyo na matokeo yake wanaangukia pua..sio siri mimi binafsi namshukuru Mungu tangu tumeanza bado tunafly tu mpaka sasa tunategemea kupata firt born wetu na ndo kwanza kama tumeanza jana..na wapo pia wengine wachache wana miaka nenda rudi "ndege" haziishi mafuta wala injini kuchakaa...wana fly tu...so ishu ni nyie wenyewe ndo maana nikakwambia wooote tunaanziaga huko huko kwa ku fly ila sasa...mmmmh!!!
 
Ninawashukuru wote kwa maoni yenu yote yakinielekeza kulilinda na kulipalilia penzi hili, nami ninachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kutuepusha na mahasidi wote wanaolichukia penzi letu, pia atupatie moyo wa hekima na maarifa ili tuweze kukabiliana na changamoto zote katika mapenzi. Uvumilivu na kusamehe zitakuwa silaha zetu kuu!! Tuombeeni wapendwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninawashukuru wote kwa maoni yenu yote yakinielekeza kulilinda na kulipalilia penzi hili, nami ninachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kutuepusha na mahasidi wote wanaolichukia penzi letu, pia atupatie moyo wa hekima na maarifa ili tuweze kukabiliana na changamoto zote katika mapenzi. Uvumilivu na kusamehe zitakuwa silaha zetu kuu!! Tuombeeni wapendwa

Kila la heri katika mapenzi yenu moto moto
 
Back
Top Bottom