I am future gay?

Ngoja niendelee kutakari huu uleaji
Sijui nikawatafutie wangu!!!

Ila sema baadhi
Wavulana wakichelewa kuanza
wanakuwa viwembe hadi unatamani kumpeleka hospitali

mtu unaweza kuwa na girlfriend
usi sex nae
ukaacha nae
ukatafuta mwingine nae hivyo hivyo

ni bora hivyo kuliko useme mpaka utakapo oa
hapo uko kwenye 30 hivi labda
hujui hata 'body language ' ya wanawake ikoje....
 
Wasi wasi dogo asije kuingia kwenye ndoa ndio akaanza ku test test aone aina tofauti za nanihii...
 
FF umesomeka vilivyo kwa ushauri huu maridhawa. Tatizo ni kuishi katika society ambayo kuna serious moral decay na kudhani kwamba mtu akiwa muadilifu basi yeye ndo ana matatizo. Kijana usikate tamaa, ishi kwa maadili yako!

Kweli mkuu. Jamii zetu siku hizi zinafiriki kinyumenyume. Mtu muadilifu anaonekana mshamba na mtu hasie muadilifu anaonekana mjanja!

Kuanzia ulevi,uzinzi,ufisadi,uchakachuaje n.k. Jamii zetu zinafikiria kinyumenyume.
 

kumbe kunawakati unakua na hekima, hongera!
 

huwez kua gay ila nakushauri kama ulivyo jitunza pia utakapokuja kua kwenye ndoa ujitunze kwa kua na mkeo tu, vinginevyo ni matatizo tu.
Hongera kwa sababu ni adimu sana kwa vijana wa leo kujitunza.
 
Hongera sana kwa kuwa na msimamo mdogo wangu,nachokushauri endelea na msimamo wako mpaka utakapompata mwandani wako though unakosa utamu wa hii kitu kwa saiv.Hao rafik zako wanaokucheka hata usitishike nao waache wao wajaze mashimo tuone kama yatajaa zaidi ya kupata STD's.
 
Imeandikwa, atakayevumilia mpaka mwisho ndiye ataiona mbingu!
Hongera kijana, uzi huo huo
.!!
 

...brother, una bahati sana, keep it up!!! Kuna wengine walianza hata kabla hawajabalehe

Your time will come and everything will be OK, as long as you are not attracted to other men😛oa
 
Wasikushughulishe na maneno yao yakifisadi,weye shikilia hapo hapo wao wamefanya mpaka sasa wamevuna nini? waache waseme.....
 
Kwa umri huo siku ya kwanza kugonga,utapiga sana kelele,na unaweza kupoteza fahamu kabisa..duh kumbe kuna watu hadi umri huo hawajaionja pepo ya duniani!!...nachokushauri tafuta demu piga mkuu,ukikaa kibikra namna iyo unaweza kukimbiwa na mke kwa kukosa experience kwenye game.
 

Gay maana yake si hanisi hata hivyo. asiwe na hofu.
 

The boss, nakubaliana kabisa na wewe.

If a boy doesn’t fully live his life when he is teenager, when it’s time to settle down he will be prone live his “lost” life, the experiences that he didn’t experienced when he was a teenager.

Like its said: WE ALWAYS WANT WHAT WE DON’T HAVE AND WHAT WE HAVEN”T EXPERIENCED YET
 
Kaka hebu anza kutafuta maexperience mapema. Lol.
 
Maelezo yako yanajitosheleza kuwa wewe ni **** tena aliyekubuhu wacha maneno yako wewe!
Vile vile inaonyesha wewe ni mpiga Punyeto mzuri sana!

 

...anakudanganya hawaishi hawa, shikilia msimamo wako huo huo...ukishaonja nyama umejichongea, huwezi acha kudokoa tena na tena! kwanza mapenzi ni mateso tu....jipe muda mpaka utapokuwa tayari kuwa na mke.

kila la heri ....:A S-coffee:
 
Hongera sana kijana, kama umejitahidi umejitunza namna hiyo basi endelea tu mpaka utakavyofunga ndo yako, wala usikate tamaa kuwaridhisha watu, binadamu hatuna dogo, mtu akiwa malaya watamsema akitulia watasema pia
 
...anakudanganya hawaishi hawa, shikilia msimamo wako huo huo...ukishaonja nyama umejichongea, huwezi acha kudokoa tena na tena! kwanza mapenzi ni mateso tu....jipe muda mpaka utapokuwa tayari kuwa na mke.

kila la heri ....:A S-coffee:
mhhhh mbu mapenzi ni mateso tena?????
 

Dada FF yani una busara hadi raha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…