I am in love with my brother

Wanasaikolojia mpe msaada huyu pia watumishi mchangamkieni huyu kabla hajashikwa na yule muovu alielaaniwa
 
Pole Sana Dada Jaribu Kufanya Maombi,mazoezi,utampata Mpenzi Wa Ukweli Na Unaempenda Kuliko Kaka ako. Unamiaka Mingapi?
 

Mmmh! hii hapana aseme na moyo wake moyo unasikia asijaribu kumwambia kaka yake hili swala ajitahidi kufunga na kuomba pia
 
Kwanza nikuulize
Una umri gani, lengo lako ni ni nini kwake sex au?
 
Mi sina pepo..I usually go to church and I pray a lot

Husali vizuri Amanda bado hujapiga goti ipasavyo Mungu wetu ni mwaminifu sana mkono wake si mfupi mpaka asiweze kukushika na sikio lake si dogo kiasi cha kutoweza kukusikia sali ukimaanisha, fanya toba ya kweli funga na kuomba utaushuhudia ukuu wake
 
Akili una :shetani::shetani::shetani::shetani::shetani::shetani::shetani::shetani::shetani:
 

You are sick you need help
 
Hili unaweza kuliondoa kwakupunguza mazoea na kaka yako, kaakaribu na mpenzi wako tumia muda wako unapokua free kwenda na mpenzi wako sehemu unazopenda kutembelea. Mweleze mtu wako wa karibu unahe mwamini ila asiwe mama wala baba maana utamuumiza pia mtu huyo awe mtu mzima.
Cha mwisho mtangulize Mungu muombe akupe ujasiri wakulishinda hili utafanikiwa.
 
Mtoa maada umekosa post/ ila kifupi unatafuta bwana. mbunye utatoa?
 
You need deliverance. nenda kanisa lolote la Kipentecoste au Assemblies uombewe, haipo duniani. Biblia inasema wazi wazi kuwa ni laana.
Huwezi kubaldili hilo.
 

Usijali my sister, kilio chako nimekisikia na yule dem angu ntamwacha ntakuoa wewe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…