I am in love with my brother

Suala lako sio geni mdada hapo na yameshawahi kutokea,wengine walishavunja na undugu kabisa kwa mila zao na kaka akamuoa Dada yake ila kwa wewe nakushauri usimfikirie na ongeza mapenzi kwa huyo ulie nae na ukubali kuwa Una kaka na sio vinginevyo..tofauti na hapo nitafute tuongee vizuri na nikushauri kitaalamu.
 
Kumb 27:22 Na alaaniwe alalaye na umbu lake, binti ya babaye au Binti ya *****. Na watu wote waseme Amina
 
Even you! You're note fair kwanin mnaleta undugunization kwenye mapenzi na wakati wanaume wengi tumejaa kama pish la mchele ahah sio haki wewe mdada.
 
kumbe watu wengi wanafeeling za incest relationship...ok
 
MUNGU wa mbinguni anayo huruma sana..dah watu kama hawa sijui Mungu angekua mizengo pinda angewafanya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…