I am looking for a true love later to be my husband

I am looking for a true love later to be my husband

Mchumba mzuri ni yule utayekutana naye katika harakati za maisha. Nyumba ya ibada safarini, kwenye sherehe, kazini. Hawa wa barua za maomi ni shida sana. Hawa wa mtitandao ni kama bingo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello people i am looking for a true love i love to express my self.
I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me .
Qualifications
Tall but not much Avarage.
Handsome boy
Good voice
Education : Diploma or Above.
Age 30- 34
Nationality : Any
Must have a job
I am serious in this and if i will get someone who loves me or i want to be with .
I will be honest , trustworthy
And i will be polite , understanding.
Kwa Hizo criteria utapata kwel madam???
Ila utanguliwe na mungu kama umeamua kikwel-kwel,,,,
 
Picha yako kwanza tuone,,Sio unasema tu unataka Handsome boy alaf we mwenyewe kituko ikawa mm ndo nikaonekana demu
 
Hello people i am looking for a true love i love to express my self.
I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me .
Qualifications
Tall but not much Avarage.
Handsome boy
Good voice
Education : Diploma or Above.
Age 30- 34
Nationality : Any
Must have a job
I am serious in this and if i will get someone who loves me or i want to be with .
I will be honest , trustworthy
And i will be polite , understanding.
Balozi wa Canada Tz anaongea Kiswahili, wewe unajiona una hadhi kuliko balozi, kwanza mwanaume awe na sifa zote izo afu awe single au awe wako peke yako, basi atakua mpuuzi, au labda uwe bikra na inayoifinyia kwa ndani.
 
Aiseee ,education diploma or above ,ni ajira kwn!!!!? km ni ajira na mshahara shilingi ngapi!!!?
 
Balozi wa Canada Tz anaongea Kiswahili, wewe unajiona una hadhi kuliko balozi, kwanza mwanaume awe na sifa zote izo afu awe single au awe wako peke yako, basi atakua mpuuzi, au labda uwe bikra na inayoifinyia kwa ndani.
Yeye anatafuta kiki mimi nipo katika bahati masibu english lazima ipewe nafasi yake.
 
Yaani binti wa miaka 30 Bado unatafuta mwanaume Mwenye sauti nzuri?

Anyway na Sisi waafidhina tunaruhusiwa Kuja?
 
True love doesn't come screaming I am True come to me.

Find a friend in a man, love will erupt and all else will follow from there.
 
Hello people i am looking for a true love i love to express my self.
I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me .
Qualifications
Tall but not much Avarage.
Handsome boy
Good voice
Education : Diploma or Above.
Age 30- 34
Nationality : Any
Must have a job
I am serious in this and if i will get someone who loves me or i want to be with .
I will be honest , trustworthy
And i will be polite , understanding.

Wewe ni mzungu or mtanzania 🧐 tutafsirie wengine kwa kiswahili tuelewe
 
True love doesn't come screaming I am True come to me.

Find a friend in a man, love will erupt and all else will follow from there.
Okey vigezo hata vya kazi vinatolewagwa kwenye kila kampuni ila ushawishi mwa mmoja ambae hana hata vigezo hushinda na huwashawishi.
Ushawishi wake kwa watahini ndio utampa kazi .
Nadhani mpaka hapo umenipata
 
Sauti ipo Unique, HB nipo average, elimu ipo ya kutosha, Job Ndugai ninae ingawa sio ya kuajiriwa na mtu, Height ni average Age ipo sawa... Kilichobaki ni wewe kuja P.M tu tuyajenge ila uwe na haiba ya Kajala au Irene Uwoya tafadhali. Kama upo ka Ruby au Maua Sama tafadhali usipoteze mda wako...Itifaki kuzingatiwa.
ha ha ha ha ha
 
Ndoa za mikataba zitaongezeka sana tuelekeapo,miaka 2,3 ,6 n.k
 
Back
Top Bottom