Blue Colour
Member
- Jan 9, 2019
- 52
- 66
- Thread starter
-
- #101
Hivi jiulize kitu wameoa wote au waliooa,ni wachacheNi kweli kwa wanaume wanaojitambua kwa umri ulioelekeza,wengi ni waume za watu;lasivyo ukubali kuwa mke mwenza kwa wale wenye taratibu hizo.
Wapo ingawa watakuwa wamepitia changamoto fulani,zilizowafanya wabaki hivyo.Kuthibitisha hilo jaribu kuangalia wanaokuja pm ni wangapi wako siriazi na hilo suala,na wana mtazamo wa kwako ulioutegemea.Kwa uhalisia kijana(me) ambaye yuko active akifikia 28+ mara nyingi wanakuwa tayari kwenye mahusiano kama sio ndoa.Kuna,45 mtu hajaoa
Wengi vijana wamekuja wapo serious na ninaheshimu mawazo yaoWapo ingawa watakuwa wamepitia changamoto fulani,zilizowafanya wabaki hivyo.Kuthibitisha hilo jaribu kuangalia wanaokuja pm ni wangapi wako siriazi na hilo suala,na wana mtazamo wa kwako ulioutegemea.Kwa uhalisia kijana(me) ambaye yuko active akifikia 28+ mara nyingi wanakuwa tayari kwenye mahusiano kama sio ndoa.
OkWengi vijana wamekuja wapo serious na ninaheshimu mawazo yao
Naninawashukuru waliokuja .
Naninajua nitafanyaje.
Kama,wewe umeoa,shukuru mungu wako
Mkuu kwanini ulikata kidole cha 6?Mimi nimeshaoa ila Kama ungependa kuwa nyumba ndogo yangu nakukaribisha nimeku PM TAYARI nimekutumia namba ya simu karibuView attachment 992141
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini?Kama,wewe umeoa,shukuru mungu wako
Hello people i am looking for a true love i love to express my self.
I am a lady age 30 i am looking for a man who will love me and understands me .
Qualifications
Tall but not much Avarage.
Handsome boy
Good voice
Education : Diploma or Above.
Age 30- 34
Nationality : Any
Must have a job
I am serious in this and if i will get someone who loves me or i want to be with .
I will be honest , trustworthy
And i will be polite , understanding.
HahaKingeleza cha nini sasa?? Kama kingeleza kingekua na msaada ungepata huko mitaani kwa kingeleza chako
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaUnatamani ungekua mwanamke kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha.Natafuta mume mkristo - JamiiForums
Mara hii ushafika 30 age?
Hongera bana naona miaka yako inaongezeka kwa speed ya supersonic.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ninachokifanya mimi sio mjinga.
Any God forbidItafika kipind hapo kwny vigezo utajaza "ANY" pote kama ulivyofanya kwny nationality.... muda ni mwamuzi mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bhanaDSTV Work .... siku sio nyingi mtasikia kuwa kuna family inatangaza kwamba ndugu yao katoweka
Sent using Jamii Forums mobile app