Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
sullivan nilikuwa arusha, nilishangaa kuckia mkutano upo AICC wafanyabiznec wapo kule njiro, i was like jamani hivi kule njiro hawa watu wa mkutano watafika saa ngapi kuangalia hiyo biznec? hivi walifika huko njiro kweli.
hawakwenda cha njiro wala wapi...baada ya mkutano walijazana kwenye yale ma cruser ya njake wakapitia kwa Seif baada ya hapo ngorongoro crater then kwao...watu walilaani asikwambie mtu