I am still in love with my first love.

I am still in love with my first love.

k'ha! we utakuwa ullilishwa limbwata, hivi una umri gani? kama vingi nikusaidie kumsahau, 4yrs kama film za kihindi dah! hivi kumbe huwa vinatokeaga kweli? pole .

Nisaidie basi kumsahau. . .
 
Mangi Pole sana!
Hebu tafuta fedha kwanza aisee mambo ya huyo kwanza yaweke pembeni! Yaani miaka minne keshakusahau! Shukuru Mungu sana kajionyesha mapema maana ungekuwa uashaoa huyo binti afu mkatenganishwa ungekuta nusu ya watoto sio wako! Kaz buti Mangi ongeza kipato then atatokea mmoja utakayempenda kwa dhati naye atakupenda kwa ampenzi ya ukweli. Kumbuka Mke mwema utapewa na Mungu nami naamini Mungu hakuchukii hivyo mwombe naye atakupa mke mwema!

Hahaha, mangi mwenzangu ndo mpango huo sa hv, natafta ela tu meku. . .
 
Kwa wale vijana wa zamani jee yupo aliyewahi kusoma kitabu "great expectations' cha Charles Dickens? Kuna kibibi kimoja ilikuwa kiolewe na mjamaa basi kikaachwa solemba siku ya harusi. Tangu siku hiyo aliamua kubaki na veli lake, akasimamisha mkono wa saa usitembee tena na akabakisha kila kitu kama kilivyokuwa siku na saa ile ambayo alitakiwa aolewe. Nimemsahau jina maana nimekisoma miaka mingi sana nyuma.

Sasa wewe kama unataka kubaki umeganda kwenye muda kama kile kibibi endelea tu.
 
Pole sana kaka, hayo mambo yapo sana tu, mimi mwenyewe niliwahi kuathirika kama wewe. sikutamani kupenda tena wala sikujua kama anaweza kutokea wa kumpenda. lakini Mungu ni mwema alinipatia yule aliyenichagulia na si mimi niliyemchagua. hakuwa riziki yako mkabidhi MUngu muda ukifika atakupatia yule aliye sawa na wewe.
 
Kwa wale vijana wa zamani jee yupo aliyewahi kusoma kitabu "great expectations' cha Charles Dickens? Kuna kibibi kimoja ilikuwa kiolewe na mjamaa basi kikaachwa solemba siku ya harusi. Tangu siku hiyo aliamua kubaki na veli lake, akasimamisha mkono wa saa usitembee tena na akabakisha kila kitu kama kilivyokuwa siku na saa ile ambayo alitakiwa aolewe. Nimemsahau jina maana nimekisoma miaka mingi sana nyuma.

Sasa wewe kama unataka kubaki umeganda kwenye muda kama kile kibibi endelea tu.

Nimesoma Charles Dickens mbili, oliver twist na the twin towns kama sikosei. . .
Ushasema kibibi so the spell is already brocken
 
Pole sana kaka, hayo mambo yapo sana tu, mimi mwenyewe niliwahi kuathirika kama wewe. sikutamani kupenda tena wala sikujua kama anaweza kutokea wa kumpenda. lakini Mungu ni mwema alinipatia yule aliyenichagulia na si mimi niliyemchagua. hakuwa riziki yako mkabidhi MUngu muda ukifika atakupatia yule aliye sawa na wewe.

Theeenx
 
to love some is nothing but to be loved something.........so if she don't love u by now. forget all over i believe u ll find some one perfect to u.😛eep:
 
let the past in past, no more chance from her try restore ur heart and mind nad then click the restart button
 
to love some is nothing but to be loved something.........so if she don't love u by now. forget all over i believe u ll find some one perfect to u.😛eep:

OK thanx. . .
 
Back
Top Bottom