I am the one for you Babe.... Yeeaaahh....!

I am the one for you Babe.... Yeeaaahh....!

Oooh yeah he is the one for Kasie Matata....

Oooohhh weeooo he is the only one....
Kasie wewe kila Siku kwako full mahaba, hao wanaume wanaokufanya ujiskie hivi unawayoaga wapi? Wewe kila Siku full shangwe???😑😢
 
Kasie,

Hivi Cassie hujawahi kutana na wanaume wakaku-heartbreak mpaka ukaona mapenzi sio something real?

Mathew mambo,
Nikisema hakuna mwanaume ambaye ameshaniumiza moyo ntakuwa muongo. Sitasema ukweli wangu wote hapa ila kuna huyu mmoja alishanitenda baada ya kumaliza chuo........sababu sikuwahi kufikiri kuwa alinichukulia kama kiburudisho na sio mchumba.... kwa wakati ule niko mschana niliumia sijapata ona. Wanasemaga hakuna maumivu makali kama kuzaa, sijawahi pitia hicho kikombe siweze bisha ila maumivu ya kutendwa ninayajua na Mungu wangu, nilitoa hadi chozi lenye upinde wa mvua maana yake ilifika wakati nalia ila machozi hayatoki, yalikauka.......

Nashukuru Mungu nilipata rafiki wa kike alinipa maneno ya Mungu ya kunifariji na kuniambia songa mbele Kasie msahau wala usihangaike nae...... hadi kesho hata nikikutana nae namuona kama abiria wengine tuu tunaokutana nao kwenye treni ya kwenda kwetu Tabora kila mtu anashuka kituo chake hatujuani kila mtu na lake. Tangu hapo, nikayasemesha mapenzi na kuyaambia, watu wanakuja na kuondoka, wema kwa wabaya; akija mwema mwenye mapenzi ya kweli nambwagia moyo wangu, akija heart-breaker nitasikitika badala ya kuumia na kuachana nae na kwenda au kukaa mbali nae.... ntajishughulisha na mambo yangu yananonipa furaha na kugeukia marafiki hata wa salamu tuu maana wapo wengi till Mr. wema comes again. Nilishaacha kubembeleza mapenzi ati mtu haeleweki anapendwa mara aone yeye hotcake mara yuko busy.....mara hapokei simu, mara hajibu meseji hakwambii tatizo nini anakaa kimya tuu, namuacha aendelee na yake atapata wa kubembelezana nae huko mbele. Mahaba nayajua sana ila.... mapicha picha ya kitoto toto siyawezi.

Na ikitokea huyo mwanaume aka niumiza moyo au kunivunja moyo, wala siwezi leta hisia hapa, kwanza huwa sitaki zikae, nahakikisha nimezipeperusha na mziki, kucheza, kuimba, safari, kupika nakuwa fresh maisha yanaanza upya wala sisemeshani na mtu. Dooh, hivi nilisema sitasema ukweli wangu hapa eeehh huu mwingine naubakisha kwa Muembe Dodo wa Kasie.

Maana wasichana wengi rika lako mapenzi yashakua mtihani mgumu sana already!
Mathew, Kasie sio mschana ni kigagulaa nasubiria pensheni mwenzio. Mapenzi kwangu ni jina tuu ila ukinitajia Mahaba..... hayo nayatandikia mkeka, nakaa kitako, nachukua ungo na kuweka nafaka ndani yake naanza kuchambua na kupepeta.... Mahaba siyaachi hadi ntaporudisha namba ila mapenzi nawaachia nyie vijana.

Wewe kwako naona tofauti and it leaves me wondering,who’s Cassie really-really?

To be honest am another creature, watu niliokutana nao na tukawa na ukaribu kila mtu alisema lake kuhusu Kasie, wengi wananiambiaga hutazeeka wewe kwa staili ya hivyo ulivyo, mie nabaki natabasamu tuu eehehheee.

Sina jibu direct who really Kasie is... but she is Matata the K'.

Ciao.
 
Tumeshauriwa tuwatunze na kuwafariji wajane. Sasa mjane kama huyu ambae mmewe kafa kwa ajali ufariji wake unakuwa si sawa na yule ambae mmewe kafariki baada ya kuugua muda mreeeefuuu...

Nadhani ushakuwa mkubwa sasa umenielewa vizuri...

Aaahahahahahaa Babuu, ujue nimewaza ungekuwa wewe ndo padre wajane wasingepata tabu kabisa, maana ibada za faraja ingekuwa unazifanyia kwao.

Meelewa mkubwa mwenzangu.
 
Mathew mambo,
Nikisema hakuna mwanaume ambaye ameshaniumiza moyo ntakuwa muongo. Sitasema ukweli wangu wote hapa ila kuna huyu mmoja alishanitenda baada ya kumaliza chuo........sababu sikuwahi kufikiri kuwa alinichukulia kama kiburudisho na sio mchumba.... kwa wakati ule niko mschana niliumia sijapata ona. Wanasemaga hakuna maumivu makali kama kuzaa, sijawahi pitia hicho kikombe siweze bisha ila maumivu ya kutendwa ninayajua na Mungu wangu, nilitoa hadi chozi lenye upinde wa mvua maana yake ilifika wakati nalia ila machozi hayatoki, yalikauka.......

Nashukuru Mungu nilipata rafiki wa kike alinipa maneno ya Mungu ya kunifariji na kuniambia songa mbele Kasie msahau wala usihangaike nae...... hadi kesho hata nikikutana nae namuona kama abiria wengine tuu tunaokutana nao kwenye treni ya kwenda kwetu Tabora kila mtu anashuka kituo chake hatujuani kila mtu na lake. Tangu hapo, nikayasemesha mapenzi na kuyaambia, watu wanakuja na kuondoka, wema kwa wabaya; akija mwema mwenye mapenzi ya kweli nambwagia moyo wangu, akija heart-breaker nitasikitika badala ya kuumia na kuachana nae na kwenda au kukaa mbali nae.... ntajishughulisha na mambo yangu yananonipa furaha na kugeukia marafiki hata wa salamu tuu maana wapo wengi till Mr. wema comes again. Nilishaacha kubembeleza mapenzi ati mtu haeleweki anapendwa mara aone yeye hotcake mara yuko busy.....mara hapokei simu, mara hajibu meseji hakwambii tatizo nini anakaa kimya tuu, namuacha aendelee na yake atapata wa kubembelezana nae huko mbele. Mahaba nayajua sana ila.... mapicha picha ya kitoto toto siyawezi.

Na ikitokea huyo mwanaume aka niumiza moyo au kunivunja moyo, wala siwezi leta hisia hapa, kwanza huwa sitaki zikae, nahakikisha nimezipeperusha na mziki, kucheza, kuimba, safari, kupika nakuwa fresh maisha yanaanza upya wala sisemeshani na mtu. Dooh, hivi nilisema sitasema ukweli wangu hapa eeehh huu mwingine naubakisha kwa Muembe Dodo wa Kasie.


Mathew, Kasie sio mschana ni kigagulaa nasubiria pensheni mwenzio. Mapenzi kwangu ni jina tuu ila ukinitajia Mahaba..... hayo nayatandikia mkeka, nakaa kitako, nachukua ungo na kuweka nafaka ndani yake naanza kuchambua na kupepeta.... Mahaba siyaachi hadi ntaporudisha namba ila mapenzi nawaachia nyie vijana.



To be honest am another creature, watu niliokutana nao na tukawa na ukaribu kila mtu alisema lake kuhusu Kasie, wengi wananiambiaga hutazeeka wewe kwa staili ya hivyo ulivyo, mie nabaki natabasamu tuu eehehheee.

Sina jibu direct who really Kasie is... but she is Matata the K'.

Ciao.

Ila uko positive sana na mapenzi aisee mpaka nashangaa!

Lakini sawa!

Watu wapo tofauti aisee,Cassie wewe ni mmojawapo!
 
Kasie wewe kila Siku kwako full mahaba, hao wanaume wanaokufanya ujiskie hivi unawayoaga wapi? Wewe kila Siku full shangwe???😑😢

Yuko humu anasoma, wapi nakutana nao au nawapata wapi...??!! majibu kweny mabano...

Mahaba matamu haswa yakiwakuta wote mnajua kuyadikodiko
 
Ila uko positive sana na mapenzi aisee mpaka nashangaa!

Lakini sawa!

Watu wapo tofauti aisee,Cassie wewe ni mmojawapo!

Thanks for observing that....

Namshukuru Mungu amenipa moyo wa aina yake.... sipendi hasira, sipendi huzuni, tabasamu lidumu milele, furaha kila wakati na Mahaba hayanitupi mkono.

Bolded in red colour; is everything okay??
 
Thanks for observing that....

Namshukuru Mungu amenipa moyo wa aina yake.... sipendi hasira, sipendi huzuni, tabasamu lidumu milele, furaha kila wakati na Mahaba hayanitupi mkono.

Bolded in red colour; is everything okay??

Im cool my sister!

Im top of my things,wala usijali!

Pale nilimaanisha “sawa” kwamba upo sawa kwa uchaguzi wako wala sio tatizo!

I wish wanawake wote wangekua na positive vibe kama lako!

Wengi ni kama wapo vitani na wanaume!

Hahaha
 
Aaahahahahahaa Babuu, ujue nimewaza ungekuwa wewe ndo padre wajane wasingepata tabu kabisa, maana ibada za faraja ingekuwa unazifanyia kwao.

Meelewa mkubwa mwenzangu.
Ewaaaa....

Basi chukua zawadi yako

1573831202911.png
 
1. Im cool my sister!

2. I wish wanawake wote wangekua na positive vibe kama lako!

3. Wengi ni kama wapo vitani na wanaume!

4. Hahaha

1. Cool bro, are you nyamwezi too mbeba mizigo mizigo?

2. You wish so, if wishes were horses...
Hata hivyo, si rahisi jinsia kufanana tabia na haiba... Tumekulia na kulelewa mazingira tofauti, hiyo tuu sababu tosha ya kuwa na hulka tofauti tofauti.

3. Yeah, yaonekana hivyo japo si wote, kuna mmoja mmoja kama Kasie hapa; mwanaume kwangu ni rafiki na simfanyi adui hata siku moja sababu kuna mambo huwa nakwama na wa kunikwamua ni mwanaume. Nnachofanya nawaheshimu na yule asiyeheshimika nakaa nae mbali nasogea kwa mwingine. Anayenichukulia poa na kuniona wa namna gani nampotezea tuu wako wanaosubiria kesho niwajibu jumbe zao kuwa lets meet for a coffee Ila siwezi fanya hivyo kwa kila mtu. I have my limits na namheshimu aliyeko madarakani kwa wakati huo... Like Muembe Dodo... a current Kasie's internal affairs.... and the Xmas is on wuuuhuuuu. Looh nisamehe nashindwaga kuongea in summary acha niweke nukta tuu paah.

4. Be happy, it's Friday, smile it's weekend jump high to your limit and have fun but make sure where you are landing won't hurt you... All the best and cheers.

K' Matata.
 
Ewaaaa....

Basi chukua zawadi yako

View attachment 1263825


Babuu Sam, Naomba hiyo K Vant hapo mezani kiiiruuuu, mbutanangaa....

Nkiki...!!!???

Hifi unajua watoto wanatukodolea macho eeehhh.... Wataota uthikuu...
Yaani baba Manka, ukishapandisha mtungi unakuwa kipofu kabsaaa kabsaaa babaanguu.... utauwa watoto baba Manka. Basi ngoja nikawashushie neti walale halafu nije tumalabuku zetu mara kumi na nane zetu aahahahahahaa.

K' Matata.
 
You know what babe,

Your Voice

Your Smile,

Your Touch,

The way you do your Homework,

The way you look at me and take gasp without being noticed aahahahahahaaaa I just love you boo... yeah I am the one, am the only one who.....Muembe Dodo I am the one for you

Supriseeeeeeee, ahahahahahaa mmmuuuuaaaahhhh!!!

You are the only one for me Bdodoo uuuuhhhhhh am in love.......

Maskini Granny Kasie, she is in love eheehheheeee



Am the only one for you babe and you are my only one...

Kasinde Matata.

Ushakojololeshwa
 
Ushakojololeshwa

Aahahahahhahaaaa umejuajeee, Si unajua ili mtoto asijikojolee kitandani huwa anaamshwa usiku na mama yake kisha anakojoleshwa na kurudi kulala..... basi ndo hivyohivyo. Kuamshwa usiku hakukwepeki...aahahahaaahahaha.
 
Embu lala huko kisa chatututia genye usiku huu ni nini wengine bado tunalala peke yetu ujue
Aahahahahhahaaaa umejuajeee, Si unajua ili mtoto asijikojolee kitandani huwa anaamshwa usiku na njaa yake kisha anakojoleshwa na kurudi kulala..... basi ndo hivyohivyo. Kuamshwa usiku hakukwepeki...aahahahaaahahaha.
 
Embu lala huko kisa chatututia genye usiku huu ni nini wengine bado tunalala peke yetu ujue

Aahahajaja Wa stendi ijumaa leo....
Hata ufunguo wa nyumbani sijui ulipo... Hapa nikitaka kujua nilipo hadi niwashe Google location where I am...
Kulala majogoo baada ya kamoja tuu ka kulainisha miguu halafu baadae ndo inafata ligi kuu ya kuangusha supu ya jogoo... Maji ya baridiii kulainisha koo ili sauti zitoke vizuri. Ooh pole hivi ulisema unalala pekeyao yako... ahahahahaa

Mahaba Matata.
 
You know what babe,

Your Voice

Your Smile,

Your Touch,

The way you do your Homework,

The way you look at me and take gasp without being noticed aahahahahahaaaa I just love you boo... yeah I am the one, am the only one who.....Muembe Dodo I am the one for you

Supriseeeeeeee, ahahahahahaa mmmuuuuaaaahhhh!!!

You are the only one for me Bdodoo uuuuhhhhhh am in love.......

Maskini Granny Kasie, she is in love eheehheheeee



Am the only one for you babe and you are my only one...

Kasinde Matata.

Bibi shkamoo 😅😁

Za weeknd mahaba matata matamu 🤗
 
Aahahajaja Wa stendi ijumaa leo....
Hata ufunguo wa nyumbani sijui ulipo... Hapa nikitaka kujua nilipo hadi niwashe Google location where I am...
Kulala majogoo baada ya kamoja tuu ka kulainisha miguu halafu baadae ndo inafata ligi kuu ya kuangusha supu ya jogoo... Maji ya baridiii kulainisha koo ili sauti zitoke vizuri. Ooh pole hivi ulisema unalala pekeyao yako... ahahahahaa

Mahaba Matata.
🤣🤣🤣🤣 Daah una mistari weyee 😅
 
Back
Top Bottom