I blame my self for letting you in Dear love

I blame my self for letting you in Dear love

It's okay if you choose to forgive and not to forget, it'll help you to not open yourself up to the same issue again.
If someone did something wrong the first time, there is the chance it'll happen again.

I don't tend to hold grudges. I am a forgiving and forgetful person, only if he/she has admitted that they are wrong. I hate when I allow idiots live in my head rent-free.

I have very simple principle...
Em ngoja niongee kiswahili tuelewane vizuri.
Iko hivi, jukumu la furaha yangu ni langu mwenyewe, hiyo simwachii mtu mwingine.

Hivyo basi, naamini kwamba "mtu yeyote, anaweza kufanya kitu chochote, wakati wowote bila kujali chochote" kwa muktadha huo, sishtushwi sana na matukio.

Na nilishaamua kusamehe yote yanayotokea, kusahau sio rahisi ila najitahidi hata nikikumbuka, ininiumize au kuniletea shida. Kumbuka tatizo linakua lipo kwenye mawazo yako tu lakini sio uhalisia.

Ukibadili unayowaza au kutizama mambo kwa mtizamo tofauti unabadili maisha yako kabisa.
 
I have very simple principle...
Em ngoja niongee kiswahili tuelewane vizuri.
Iko hivi, jukumu la furaha yangu ni langu mwenyewe, hiyo simwachii mtu mwingine.

Hivyo basi, naamini kwamba "mtu yeyote, anaweza kufanya kitu chochote, wakati wowote bila kujali chochote" kwa muktadha huo, sishtushwi sana na matukio.

Na nilishaamua kusamehe yote yanayotokea, kusahau sio rahisi ila najitahidi hata nikikumbuka, ininiumize au kuniletea shida. Kumbuka tatizo linakua lipo kwenye mawazo yako tu lakini sio uhalisia.

Ukibadili unayowaza au kutizama mambo kwa mtizamo tofauti unabadili maisha yako kabisa.
You are Right.
Naomba niendelee kwa kiswahili ili tuelewane.
Ni kweli mwenye jukumu la kusimamia furaha yako ni wewe.

Haya maisha ni vurugu vurugu. Fikiria umekerwa na watu 10 halafu umewashikilia kwenye kumbukumbu zako. Mambo mengine utayahifadhi wapi.

Kati ya watu ninaowasahau haraka ni watu waliovunja uaminifu kwangu. Tunaweza pishana hata barabarani nisikujue😊😊.

Kukumbuka Nita kumbuka kama mtu atanikumbusha, tena hapo nitakumbuka kwa mbaaaaaali.
 
Soma Hii hapa na uifanyie kazi
images%20(1).jpeg
 
It's okay if you choose to forgive and not to forget, it'll help you to not open yourself up to the same issue again.
If someone did something wrong the first time, there is the chance it'll happen again.

Personally, I don't tend to hold grudges. I am a forgiving and forgetful person, only if he/she has admitted that they are wrong. I hate when I allow idiots live in my head rent-free.
Life
FB_IMG_1515336300723.jpeg
 
I can forgive when I realize carrying around anger is pointless. That being said, however, true me never forgets, not someone who intentionally tried to harm Me or hurt Me. Never. The truth is that when people I trust deceive or betray me I tend not to blame them. I blame myself, for allowing it to happen. I have control, and I let them get past my guard. It's also why when someone from my inner circle does this, I eject Them from My circle of trust and never allow them back. I may have gotten caught off guard once, but I will never allow it to happen again. People who betray Me and then try to be My friend again are wasting their time. I can forgive, but I don't ever forget.
That is life, some person sees us opportunity, stand with us not because they love us, they see what we see or they with us to accomplish our task (mission,vision and focus) but rather they're with us to exploit to maximum that leads to our destruction and you can realise this after entering in their trap and they're so trick. What we suppose to do is, to have clear map of where we are going, and to try harder to create independent system that can help us to have new and different life that exclude those destructive person, to regain our life, to regain our happiness. Needs time so needs to be patient is like when you lost a path,
NB. Forgive but don't forget carry it like lesson but don't be busy in that class.
We have to forgive and forgive ourself.
Sorry najikuta naandika, andika tu na emotion zangu. Too sad.
 
A despair caused by an honored admission is more harming than that caused by a trickery.As long as you have forgiven,passage of time will take care of the rest.As you said holding into hatred doesn't do you any good. Don't Trust that person again.He/She Might have failed on the first attempt,given another chance they will kill you!
 
Principle, sometimes we even forget those principles we set for ourselves,


Kaboom you are hurt! 😊😊
Mimi siku hizi nikigundua nimeumia, najiita mjinga najichekaaa 🤣🤣🤣🤣 maisha yanasonga
I don’t take things ( even people) serious
I have very simple principle...
Em ngoja niongee kiswahili tuelewane vizuri.
Iko hivi, jukumu la furaha yangu ni langu mwenyewe, hiyo simwachii mtu mwingine.

Hivyo basi, naamini kwamba "mtu yeyote, anaweza kufanya kitu chochote, wakati wowote bila kujali chochote" kwa muktadha huo, sishtushwi sana na matukio.

Na nilishaamua kusamehe yote yanayotokea, kusahau sio rahisi ila najitahidi hata nikikumbuka, ininiumize au kuniletea shida. Kumbuka tatizo linakua lipo kwenye mawazo yako tu lakini sio uhalisia.

Ukibadili unayowaza au kutizama mambo kwa mtizamo tofauti unabadili maisha yako kabisa.
 
Wakuu Things happen unexpectedly, the way she was caring loving ....nlizama mazima maana she knows my A ,,toka kufukuzwa kazi mpaka kusimama tena mimi kama mimi..nikiwa nae ..ila.... Nina mengi Yananiumiza ila nimeamua kupambana nayo replies nyingi zimenipa pa.kuanzia
 
Principle, sometimes we even forget those principles we set for ourselves,


Kaboom you are hurt! 😊😊
Mimi siku hizi nikigundua nimeumia, najiita mjinga najichekaaa 🤣🤣🤣🤣 maisha yanasonga
I don’t take things ( even people) serious

You will live longer Chief!
 
Kwanini ujiumize kwa kujifanya humfahamu mtu pale mnapokutana kisa alikukosea, maisha ni furaha ukiwajua walimwengu hawawezi kukukosesha usingizi msalimie Cheka then endelea na yanayokuusu
You are Right.
Naomba niendelee kwa kiswahili ili tuelewane.
Ni kweli mwenye jukumu la kusimamia furaha yako ni wewe.

Haya maisha ni vurugu vurugu. Fikiria umekerwa na watu 10 halafu umewashikilia kwenye kumbukumbu zako. Mambo mengine utayahifadhi wapi.

Kati ya watu ninaowasahau haraka ni watu waliovunja uaminifu kwangu. Tunaweza pishana hata barabarani nisikujue[emoji4][emoji4].

Kukumbuka Nita kumbuka kama mtu atanikumbusha, tena hapo nitakumbuka kwa mbaaaaaali.
 
Back
Top Bottom