I cant imagine mapigo ya moyo ya kibaka huyu kabla ya kiberiti...Poor him

I cant imagine mapigo ya moyo ya kibaka huyu kabla ya kiberiti...Poor him

Ni haki hawa vibaka ni wakichomwa. Mnaosema siyo fair nafikiri bado hayajawakuta.

Yalinikuta arusha karibu na benki nikienda kumpilia mtoto ada, bahati nzuri alikwapua pochi haina hata senti zaidi ya kadi ya benki hivyo kunivurugia mipango yangu.
Sio fair kupiga kelele ya mwizi kwa mambo ya kidunia...wote tunatafuta riziki na huyo hapo alikuwa kazini...ajira milioni moja za kikwete ndio hizo.
 
Kwa nini hawakumchoma huyu?

rostam_3.jpg

hahahahahaaa! ngoja hasira za wazalendo ziendelee kupanda utaona kitakachotokea
 
Za mwizi arobaini naona tayari keshaandaliw tayari kwa kiberiti....mapigo ya moyo hapo usitake kujua..


168174_195549717125894_100000126027936_826015_5044730_n.jpg

Hivi katika zama hizi za Technolojia Wanaochoma Vibaka na Kuwaua hawawezi kushtakiwa?

Imekuwa ikisemwa katika Mobjustice huwezi kujua ni nani aliyetenda kosa.

lakini katika picha hii watendaji wanaonekana wazi na wanaweza kuwa identified. Why not prosecuted?

Kama katika maandamano kama arusha yenye mamia ya watu, watu wanaweza kukamatwa na kushtakiwa why not in this?

Siungi mkono vibaka, lakini napinga hatua ya watu kujichukulia hatua mkononi na kutoa hukumu ya kifo.
 
Hayo ni matokeo ya kuwa na viongozi waisositiza utawala wa sheria. Serikali inaposhindwa kusimamia sheria, basi wananchi wanaishi kwa kujichukulia sheria mikononi, na matokeo yake ndiyo hayo.

Ni vibaya sana kwa kumchoma mtu akiwa hai na hivyo kumwua kwa mateso kwani wakati mwingine inawezekana siyo kweli kuwa alikuwa akiiba, labda kasingiziwa. Na hata kama kweli alikuwa akiiba, hilo siyo kosa la kunyongwa.
 
Jamani Achane sheria ichukue mkondo wake. inasikitisha sana
 
Hivi katika zama hizi za Technolojia Wanaochoma Vibaka na Kuwaua hawawezi kushtakiwa?

Imekuwa ikisemwa katika Mobjustice huwezi kujua ni nani aliyetenda kosa.

lakini katika picha hii watendaji wanaonekana wazi na wanaweza kuwa identified. Why not prosecuted?

Kama katika maandamano kama arusha yenye mamia ya watu, watu wanaweza kukamatwa na kushtakiwa why not in this?

Siungi mkono vibaka, lakini napinga hatua ya watu kujichukulia hatua mkononi na kutoa hukumu ya kifo.


Sometimes chanzo ni uzembe katika uchunguzi wa polisi.
Unaona mtu ni kibaka lakini polisi wanashindwa kupata ushahidi wa kumfikisha mahakamani, matokeo yake anarudi mtaani anaendelea na tabia ile.

Wakati mwingine, rushwa ndogo ndogo zinamtoa huyo mtuhumiwa kule polisi kabla hata hajafikishwa mahakamani, hata kama ushahidi upo. Sasa raia wanachoka bwana, sometimes inabidi kufumba macho na kuwaacha washughulikiwe na mob justice.

Ukiangalia picha hiyo hapo juu, kweli inatisha. Lakini kama umeishawahi kupigwa nondo na kibaka au kupigwa bisibisi, unafikia muda unafikiri labda kibaka mwenyewe ndiyo hapo juu na hiyo ni halali yake.
 
hawa watu weupe bongo wanapewa heshima kuliko,hatakama kaua mamia ya watu bado atatoa kejeli zakutosha.jiulize wapo wangapi hapa raia wenye asili ya asia alafu pita kwenye magereza angalia wapo wangapi,alafu pita mahakamani angalia hukumu ngapi zilishatolewa za watu kama hao ndipo utaijua Tanzania zaidi ya uijuavyo.
 
Kwa mliomaliza Mzumbe mtamkumbuka Mstafa alichomwa moto mwishoni 2010 Mwanza kwa kudhaniwa kibaka na wanakijiji. Hizi hasira za kujichukulia mikononi sio fresh, jamaa hakupewa nafasi ya kujitetea kisa alikuwa mgeni mitaa hiyo wakahisi kibaka na kumuua msomi hata kabla hajala matunda ya elimu yake.

RIP Mstafa we still mourns your brutal death.:A S 20::A S 20:

Kifo cha Mustafa kilinishtua sana coz ni best yangu tangu utotoni, hasa juu ya tukio lenyewe la kuchomwa moto akidhaniwa ni kibaka, nilipopata taarifa tu nikaishiwa nguvu na kushindwa kufanya imagination ya mateso aliyopata mpaka anaaga dunia. RIP my best friend!
 
Mkuu una roho ngumu, mie hata kuua mdudu siwezi, itakuwa kuua kwa maneno.

Ungepewa kiberiti umuwashe kibaka huyu ungemuwasha ?

Kwa hawa vibaka jaman siwezi,bora nife mim kuliko nimuwashe moto huyo mtu,ila with j.k and his other thugs!Hell yeah.puufff bila hata kufikiria mara2
 
Kifo cha Mustafa kilinishtua sana coz ni best yangu tangu utotoni, hasa juu ya tukio lenyewe la kuchomwa moto akidhaniwa ni kibaka, nilipopata taarifa tu nikaishiwa nguvu na kushindwa kufanya imagination ya mateso aliyopata mpaka anaaga dunia. RIP my best friend!

Hii kitu inatisha manake inaweza kukuta wewe au mimi, imagine umeenda vijijini kufanya research wanakijiji wanahisi unataka kununua mashamba kinyemela, unaweza washwa kiberiti manake muda wa kusikiliza hawana. Hii yote imesababishwa na mafisadi wahujumu uchumi hadi imani imetoweka kwa watumishi wa serkalini.
 
Akichomwa ataungua na kufa lakini atakua hajapata adhabu ya malipo yake ya wizi. wangemkata vitendea kazi vyake.
 
Kuna wakati ni lazima mtu afe kwa style hii ili iwe mfano kwa wengine ambao wana tabia kama za huyu,kwa wanaosema kuwa adhabu hii ni kubwa sana nadhani hawajawahi kupata madhara ya kuibiwa na watu kama huyu.
Tunatambua kuwa sheria za nchi haziruhusu wananchi kujichukulia sheria mikononi lakini yafaa kitu gani kumkuta mtu kama huyu tena mtaani wakati jana yake alikuwa polisi?Tufikie wakati tutoe mfano kama huu ili tabia kama hizi zikome.

Hata kama sheria zingekuwa zinaruhusu kujichukulia sheria mkononi je unadhani ni sahihi kumpa mtu adhabu ya kifo kwa kumchoma moto kwa sababu tu kuna watu wamedai kuwa ni kibaka? Je unadhani ni sahihi kumhukumu mtu bila kwanza kujua amefanya kosa gani na kama kweli amelifanya hilo kosa na bla kumpa nafasi ya kujitetea? Pamoja na uchungu wa kuibiwa na vibaka siyo sahihi kushangilia tabia za kikatili kama hii ya hawa wananchi.

Kumbuka kuna watu wamejeruhiwa na hata kuuwawa na wananchi wanaoitwa kuwa wenye hasira kali wakati hawakufanya kosa lolote. Na hili linaweza kumtokea mtu yoyote hata wewe.
 
Tulianzishe Tunisia Type huyu Tutampata tu kabla hajakimbilia kwao Iran
 
I dont want 2 remember 2009,2livamiwa na jambazi kama 8 hivi,wakapasua pasua milango,then wakamshika mdogo we2 wa mwisho wakitutishia kumuua kama hatutawaonyesha wazee wanapolala,tukawaonyesha,yaliyojiri huku ni ding kupigwa na maza aliponea chupuchupu kubakwa,ikabid watoe hela zote walizokuwa nazo na baadh ya vitu,wakawavua na pete zao za ndoa!mi nikimkuta mwiz ka huyo ndo kwanza najitolea kununua mafuta na kiberit na kumuwasha!hao majamaa wanaua sana baba zetu,wameacha familia nying zinateseka,nikikumbuka kifo cha yule prof wa udsm mwaka jana,ndo napandwa na mzuka wa kumtoa roho withn a second huyo mwiz!i real hate those jambaz's.
 
Back
Top Bottom