I can't live without you

I can't live without you

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Aaahahahahahahaa naanza na cheko, heko cherekooo aahahahahaaa

Ati ananitumia dedikesheni, ooh Kasinde mie siwezi kuhema
Mapigo ya moyo yanashuka kila dakika
Mwili hauna nguvu
Sijala tangu jana asubuhi nakuwaza wewe
Kasie usiutese mtima wangu

I can't live without you Kasie, and if living is living without you, then I can't take this life anymore...
Aaahahahahahahahhaaaa loooh nacheka kama mazuri vileee eeheheheheheheeee haaachuuuuuu.

Akuuuuuuuu, usinizeesheee bibi wa watu mie.



1596227560203.png

K' Mwenyewee (Way Back1991)

Kasinde Matata.
 
Aaahahahahahahaa naanza na cheko, heko cherekooo aahahahahaaa

Ati ananitumia dedikesheni, ooh Kasinde mie siwezi kuhema
Mapigo ya moyo yanashuka kila dakika
Mwili hauna nguvu
Sijala tangu jana asubuhi nakuwaza wewe
Kasie usiutese mtima wangu ......

I can't live without you Kasie, and if living is living without you, then I can't take this life anymore...
Aaahahahahahahahhaaaa loooh nacheka kama mazuri vileee eeheheheheheheeee haaachuuuuuu.

Akuuuuuuuu, usinizeesheee bibi wa watu mie.



View attachment 1523037
K' Mwenyewee (Way Back1991)

Kasinde Matata.
"Anahisi hana nguvu"?? Huyo atakuwa na changamoto ya upumuaji[emoji14] [emoji14] Cov... 19 .@ Kasie Matata.
 
Morogoro tulikuwa tunaita MDUNDIKO. Ulikuwa maarufu kwa kupoteza watoto. Pia wake waliunguza mboga jikoni kwa sbb ya MGANDA.
Umefanya hiki kibwagizo kinijie kichwani....

Poliiisiii kamataa
Kidevu kinawashaa
Mwambie babu yakoo
Acheze mgandaaaa... uuuhhh

Havintishi tishiii
Havinibabaishiii
Ule mpango vipiii

Msalimie afande hapo kushoto aahahahhaaaa.

K' Matata.
 
Aaahahahahahaaa Wax, usitoe siri fichamooo aahahahahaa

Watanikwiba bureee wakati sikuhizi hakuna tena, kimekwishaa choteeee eeheheheheheee.

Kasinde Matata.
Naomba Basi nimalizie Mimi mrembo
 
"Anahisi hana nguvu"?? Huyo atakuwa na changamoto ya upumuaji[emoji14] [emoji14] Cov... 19 .@ Kasie Matata.

Aaahahahahaaa, basi ajiuguze hadi apone asijeniambukiza maradhi yake bureeee.

Akinisogelea nampulizia moshi wa bangee eeheheheeee.
 
Back
Top Bottom