charty najua unanipenda mpenzi wangu, lakini urembo wako unaniweka roho yangu juu, angalia usihadaike na walaghai,kama Rich Pol ukitoka kazini pitia hapa uone anavyo mdanganya shemeji yako kiwatengu ili umpe makavu live nakupenda mpenzi wangu Mwaaaa kazi njema!
"Muhudumu"Aiisseee nipe supu na kinana baariiidiii...nimsubiri wife hapa!
nakupenda kipenz changu siwez kukusalitiii.nawaangalia tuu nione mbio zao zitaishia apiii😉
kiwatengu u want to spoil my cake??huhshould some 1 come back!?
Naogopa nasikia huwa anatema sumu unavimba tumbo
Mtoto halali na hela! nakutakia safari njema.
ni furaha lakini kwa kuwa haachi kidonda
mkuu hivi uliwahi kuuliza juu ya mazingira ya newala.
ulikuwa unaenda?
Viroba?? Uko level zingine jomba
zimefika shem
nakupenda kipenz changu siwez kukusalitiii.nawaangalia tuu nione mbio zao zitaishia apiii😉
kiwatengu u want to spoil my cake??huh
zimefika shem
yalikuwa poa sana.. full burudani asee ingawa watoto wa mama mdogo ni wengi mnoo hadi shida..
zimefika shem
Yani wewe na ndoa za watu tu. Ya kwangu mimi ipo ICU kwaajili yako sasa hivi umehamia kwa kiwatengu