I declare it, I love you so much...

I declare it, I love you so much...

..ya kwako karibia tuipeleke kinondoni kuipumzisha milele..!
..ya mwallu pia natamani niiwekee doa lakini nashindwa coz Mentor mpole Sana..
. miss neddy yeye nimeshapata fursa, tutayamaliza hivi karibuni..
..ya kiwatengu ipo kwenye wish-list tayari.

Mwisho wa siku unapata raha gani?
 
Last edited by a moderator:
..ya kwako karibia tuipeleke kinondoni kuipumzisha milele..!
..ya mwallu pia natamani niiwekee doa lakini nashindwa coz Mentor mpole Sana..
. miss neddy yeye nimeshapata fursa, tutayamaliza hivi karibuni..
..ya kiwatengu ipo kwenye wish-list tayari.

Badala ya kusikitika umenifanya nicheke tu.Mhhh kweli unayaweza ila nahisi unawasumbua hao maana ni wapole
 
Last edited by a moderator:
..ya kwako karibia tuipeleke kinondoni kuipumzisha milele..!
..ya mwallu pia natamani niiwekee doa lakini nashindwa coz Mentor mpole Sana..
. miss neddy yeye nimeshapata fursa, tutayamaliza hivi karibuni..
..ya kiwatengu ipo kwenye wish-list tayari.



Hizo ndoto za mchana Mkuu! Utakwenda wewe Sinza Au Mwana Kwerekwe Zanzibar lkn ndoa Yangu Na Khantwe itabaki pale pale!
 
Last edited by a moderator:
Hizo ndoto za mchana Mkuu! Utakwenda wewe Sinza Au Mwana Kwerekwe Zanzibar lkn ndoa Yangu Na Khantwe itabaki pale pale!

hapana, labda kibanda maiti Zanzibar mkuu.
 
Last edited by a moderator:
hehehe nimeona akibembeleza kwa maneno matamu,kweli mapenzi kitu kingine.

Hahahaha.....do not underestimate the power of mapenzi....achana nayo kabisa haya makitu
 
Back
Top Bottom