AshaDii nimeamini ni bingwa wa kutohoa maana nilivyoona neno lenyewe nikakimbilia tuki kuangalia maana yake nikatoka kapa
Mhh haya bana mi niko lonely nusu nusu huku niko lonely ila wa ubani hayuko mbali anafanya fanya vishughuli vya hapa na pale bado muda wa kuwa pamoja
<br />Nasikia eti.<br />
<br />
Bia inazeesha haraka<br />
bia inampa m2 hang over<br />
Bia inamaliza pesa<br />
Bia ina danganya macho na kumuona mama mkwe ni mrembo kama First lady<br />
Bia ina haribu ini<br />
Bia inampa mtu kitambi<br />
Bia inamfanya mtu kudharaulika kama analewa kila siku<br />
Bia inamfanya m2 kusahau matumizi ya Condom<br />
Bia imekatazwa kwenye Biblia na quran<br />
Bia inavunja ndoa sometimes<br />
Bia inarudisha maendeleo nyuma<br />
Bia inasababisha ajali kama ukilewa sana na kuendesha<br />
Bia <br />
Bia<br />
Bia<br />
<br />
Mulizeni mengine Fidel na Asprin.
unamaanisha fidel na aspirin ndo wana hii orodha ya matatizo?
afu ww mentor wetu umemficha wapi banaa, kizuri kula na nduguyo bibie
<br />
<br />
<br />ha ha ha....
wifi mbona wacheka? hujaona kule watu wamesononeshwa na mgomo wa tbl? lol
<br />
<br />
Well nimetoka job nikaenda kuzurura town kidogo did some stupid shopping then nikarudi home m feeling a lit better now. Thank u for caring cuteyPole dadiito!! I just feel it for you. huwa unapendelea sana kufanya nini in your free time?
Yes Preta kiasi fulani i got you guys here and thats why i love JF. True people, True friends
Dah hii inabidi utupe mkanda mzima ulikuwajeJF iko hivyo siku zote.....ukienda nayo hivyo......hata mimi ilishawahi kunitokea hali hii lakini rafiki wa JF walinirudisha kwenye mstari......tena ilikuwa live.....coz.....tulienda beyond keyboards