AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,102
AshaDii nimeamini ni bingwa wa kutohoa maana nilivyoona neno lenyewe nikakimbilia tuki kuangalia maana yake nikatoka kapa
Mhh haya bana mi niko lonely nusu nusu huku niko lonely ila wa ubani hayuko mbali anafanya fanya vishughuli vya hapa na pale bado muda wa kuwa pamoja
Some times its good... the above mimi pia..