Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Ndugu usipobadilika wewe, hata mwaka huu 2020 utaendelea kupigwa zaidi.Thanks I see mwaka 2019 ulikuwa mbaya sana kwangu I have lost a lot I hope will recover 2020 but 2019 was the worst year in my life
Utakua wakishua wewe....acha wajanja wanufaike na ujinga wako! Tena nina uhakika walokutapeli wana ambizana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kubwa ninayokupa ni uwezo mkubwa ulionao wa kutambua makosa yao, kukiri binafsi ulipojikwaa na kutokukata tamaa kabisa. Few men can have such mindset. Safi sana.
That is big spirit to a man to reach into his success level. Ipo siku utatoboa fresh kabisa.
Kabla sijasoma ulichoandika hapo. Naomba tu umekuwa scammed for your stupidity.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani lakini mbona unatapeliwa kizembe sana chief? Shida yako ni 1 tu, kwa faida yako nitakwambia. TAMAA!Yaani mzee mi hata sielewi ila money comes money goes zitapatikana nyingine tu
100% right Nimefanya risk nyingi sana I’m cooling down naanza slow though sio style yangu let me cope thx Kwa ushauri ndugu yangu
Samahani lakini mbona unatapeliwa kizembe sana chief? Shida yako ni 1 tu, kwa faida yako nitakwambia. TAMAA!
Deal with it
Sent using Jamii Forums mobile app