Kwa maelezo yako inavyoonekana kwanza hauna knowledge ya FOREX wewe ni wale watu waliosikia au kuona mtu anapiga hela fx ukaamua na wewe kuanza trade bila kuwa na knowledge nzuri itakayokuwezesha wewe ku trade kwa profit kubwa na loss ndogo .
USHAURI.
FOREX ni nzuri na inalipa kama kwanza utawekeza muda wako kwanza kuisoma na kisha kufanya tradings ndogo ndogo ili ku grasp knowledge vizuri na pia kupata experience so fanya haya .
1).Soma kupata elimu yake na pia uwe mfuatiliaji mzuri wa matukio bali usiyategemee mno kwenye kila trade yako.(matukio ninayoyaongelea hapa ni taarifa za habari hasa zinazohusu uchumi wa nchi nyingi hasa zilizoendelea kwa kuwa ndiyo controllers wazuri wa market).
2).Tafuta strategy nzuri kati ya ulizosoma na ambayo unaona umeielewa vizuri kisha practice na hiyo strategy throughly ili kuielewa zaidi na kisha ifanye strategy yako ya kila siku.
3.Epuka kutumia bots,narudia tena epuka kutumia bots!!
Kama ulikuwa haujui zile ni codes zilizoandikwa na programmers,tu ambazo zinafuata kile ambacho zimeelekezwa na huyo programmer so hazina uhalisia na real time trendings.
4.Epuka kufungua orders nyingi kwa wakati mmoja jitahidi sana zisizidi tano na hata kama utaaamua kufungua nyingi hakikisha stratergy yako umei comfirm. Na una uhakika na unachokifanya.
5.Zingatia Risk Managents,hapa naongelea .
*Usitumie lotsize kubwa mno hapa unajiweka kwenye risk kubwa ya kuchoma hela yako.
*Zingatia Stop loss.
6.La mwisho USIMUAMINI MTU KWENYE HELA hao scammers wamekuibia kwa kuwa unapenda mteremko mkuu .
Mwisho kabisa nikutakie trading njema.
Sent using
Jamii Forums mobile app