I love Joanah (my dream woman)

Njaa mbaya sana dah #nimeropoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujawahi kuniPM kwanini uanzishe uzi kama huu?

Kwanini usingeniPM moja kwa moja kuandika uliyoandika hapa??!kuna haja gani ya uzi?

Yaani kabisa pamoja na ung’eng’e wote ule wa mchizi ndo imeisha hivi..!!

Come on JoJo huwezi kuwa siriazi, sio poa hii.... wenzio wanakesha kwa mganga ili nyota iwake wewe kirahsi tu.

Imeisha hiyo [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nami naomba niendelee kusisitiza nia yangu niliyotangaza kwa mda mrefu

Depal nakuelewa sana na nakukubali mno wewe mrembo sema unanipiga chenga deili fanya uje tuyajenge mama

cc anaeweza anisaidie kumtag

Samahani kwa kutumia uzi wako kutangaza nia mkuu
 

😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…