I love my wife but...

I love my wife but...

i have been following your posts for quite sometime. I think you understand women big time. Wanaume wachahe sana duniani wana uelewa kama wa kwako. Na kama you practice what you preach basi your wife is very lucky. May god bless you
am his wife ,im very lucky for sure
 
Kama kweli wampenda mkeo, punguza/acha urafiki na mabinti au wanawake. Hiyo itakusaidia sana kwenye ndoa yako. Hakikisha unapata muda wa kutosha wa kukaa na mkeo na kuongea naye mambo ya maendeleo.

Huyo mkeo anakukagua simu yako sababu hana imani nawe, anahisi ya kuwa hao unaoongea nao ni wanawake zako pia. Kuwa mwaminifu kwa mkeo hatokuja kugusa simu yako kukukagua siku zote, pia rudisha ile imani aliyoipoteza kwako kwa kuenenda kwenye tabia/mahusiano mema. Hii itakusaidia ndoa yako isitikisike.
 
kanikataa jamani? Kasema mkewe ameinvest kwenye silaha kama korea kaskazini

Smile,

Mbona unakuwa mwoga hivyo? hiyo nilikupa hali halisi uijue kwanza well in advance :lol:
 
Jamani habari,

Mie ni kijana mwenzenu nipo kwenye ndoa mwaka wa 2 sasa , lakini sometimes nashindwa kumuelewa wifi yenu/shemeji yenu sijui tatizo ni nini.

Mimi nina bahati mbaya moja kwenye maisha yangu kwamba watu hutokea kuwa karibu na mimi iwe darasani, kazini etc popote ambapo nakaa muda mrefu na watu basi huwa najenga ukaribu japokuwa mimi mwenyewe sijichukulii kama "down to earth" sana na pombe sinywi. (Ila honestly huwa nakuwa close na ladies mara nyingi as friends)

Problem ni wife hataki kabisa niwe na mahusiano ya karibu na jinsia ya kike yani awe colleague wa kazini au ofisi yangu ya zamani au evening class au whatever. Napata wakati mgumu coz hata wakipiga simu inabidi nianze ku explain "who is this " , "why she is calling" ,etc na kama ni new friend na ni binti basi kasheshe kabisa.

Wenzangu mna handle vipi hizi situation coz as the days go by she is becoming more and more possessive na inaweza kunifanya nitengwe na jamii inayonizunguka and she thinks she is doing the right thing.

Kabla hujaona nadhani ulipewa mafunzo, na moja wapo ni kuwa na kiasi katika kila kitu. Kama unazoeleka kirahisi, na unajenga urafiki kirahisi basi kuwa na kiasi. Sidhani kama mume wa mtu ni vema kuwa na urafiki wa karibu sana na wadada. As I said kuwa na kiasi ktk kila kitu ili usimkwaze mwenzio na kumtia hofu. Wewe mweneyewe unajua jinsi binaadam tulivyokuwa vigeugeu, wiki moja mtazoeana na mdada wiki inayofuata anaanza kuku text sms za mapenzi, mkeo atakuelewa kweli?

Au jiweke kwenye nafasi ya mkeo, kama mkeo naye akiwa na friends wa jinsia tofauti na yake, tena akijenga mahusiano ya karibu utafurahi?usichopenda kufanyiwa nawe usimfanyie mwenzio. Pia KUWA NA KIASI
 
Kabla hujaona nadhani ulipewa mafunzo, na moja wapo ni kuwa na kiasi katika kila kitu. Kama unazoeleka kirahisi, na unajenga urafiki kirahisi basi kuwa na kiasi. Sidhani kama mume wa mtu ni vema kuwa na urafiki wa karibu sana na wadada. As I said kuwa na kiasi ktk kila kitu ili usimkwaze mwenzio na kumtia hofu. Wewe mweneyewe unajua jinsi binaadam tulivyokuwa vigeugeu, wiki moja mtazoeana na mdada wiki inayofuata anaanza kuku text sms za mapenzi, mkeo atakuelewa kweli?

Au jiweke kwenye nafasi ya mkeo, kama mkeo naye akiwa na friends wa jinsia tofauti na yake, tena akijenga mahusiano ya karibu utafurahi?usichopenda kufanyiwa nawe usimfanyie mwenzio. Pia KUWA NA KIASI

Nimekuwa namu encourage sana ajenge marafiki tatizo toka akutane na mimi amewaondoa rafiki zake karibu wote.
 
private message? Duh mbona mimi huwa hamnitumii hehehe
swali
je unajuaje nani ana private message ngapi?
huwezi jua za mtu,hadi akuambie kama nilivokuambia.ngoja ni kupm ,andaa matarumbeta kabisa ya kuipokea
 
Haahaha

nilifikiri kuna sehemu una click unaziona zote :lol:
 
Ha ha ha umenichekesha sana mkuu,hawa watu ni wazuri sana ila ukiwahandle vibaya ni BALAAAA,KWA KIASI KIKUBWA SIE WANAUME NDIO HUWA TUNAWAHARIBU. Huyo shem wetu siku akiacha kulalamika tu....ujue tayari wajanja wameshaanza kumCHAKACHUA. INABIDIDI JAMAA ABADILIKE KABISA.

hapo kwenye red hapo pana ukweli sana, halafu ni wachache sana wenye hekima ya kugundua malalamiko yameisha!
 
Mkuu don't find an excuse kuhalalisha unachofanya.. ndoa mkuu ilivyo ni kwamba mnapoingia kila mmoja anakuja na yake ya zamani (tabia na mazoea), mkishakuwa kwenye ndoa na mkishasomana kila mmoja anamwambia mwenzake nini hapendi kutoka kwake!!

ukiambiwa hivyo, huna budi kukubali ili kuistawisha ndoa yako. wengi wameharibu ndoa zao kwa ubishi kama wako!
swali: je usipojenga mahusiano na jinsia ya kike kama mkeo atakavyo kuna nini kinaharibika kikubwa maishani mwako?.

Halafu pia mambo haya hayaanzi hivi hivi!! inawezekana katika mawasiliano na hao wenzio wa jinsia nyingine kipo kitu ambacho mkeo hakimpendezi... au umewahi kumweka kwenye maswali kadhaa ka simu flaniflani au sms flaniflani ulizowahi kutumiwa na ndo mana yupo hivyo.

So please kaka angalia ndoa yako, achana na hao wengine watakuharibia mji bureeeeee... wanawake huwajui wewe!! unaweza ukawa unalazimisha hayo mawasiliano na hao watu wako yeye akafikiri unatoka nao na yeye akatafuta dogodogo... Pllease achana nao, kama vipi ongeze midume zaidi kama marafiki katika nafasi za wanawake wako hao
 
my wife wako yupo sahihi kabisa na anaonyesha anakupenda la msingi msikilize otherwise naye atatafuta marafiki wa kiume alio soma nao na omba sana kama mkeo si wa la ................................. utachinja hadi kuku
 
Duuh!!nikisema naogopa kuingia ndoani nina kosa kwa staili hii?loh!bado naendelea kufikiria.nahitaji maombi ya ziada.
 
Back
Top Bottom