Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
nikuulize shem? kama mwanaume baba wa familia upo sebuleni na watoto na ndugu labda upo bize unachati chati hv unadhani iyo familia inakuchukuliaje? kila saa ngriiiii sms unaaza kutembeza vidole tena simu ngrrrrrrrrrrrr loh aibu bana
Smile....suburi uingie kwenye mahusiano rasmi, then tuone kama utakuwa unaongea hivi...(hivi nikiwa bize na simu nyumbani nashughulikia mambo ya muhimu kwa ajili ya welfare ya family kuna ubaya? ohoooo)