Pole sana kaka!hapo kuna mambo mawili ambayo kwa upande wangu nayaona,
1).Inawezekana unakatabia ka kuiba nje ya ndoa na mkeo ameshtukia ila hataki kuwa muwazi kwako o lilishakuwaga varangati na hilo likaharibu imani ya mkeo kwako,au anaambiwa maneno mengiX2 na watu kuhusu wewe kwahiyo anakuwa hakuamini.na anamulika mwizi... kwa hiyo muweke chini mkeo zungumza nae kadiri uwezavyo ktk mazingira tofautix2,muulize kwanini hakuamini,kunatatizo gani?au anasikia nini?kutoka hapo utajua shida ilipo na wewe jitahidi ubadilike na mjengee imani kwamba umebadilika na fanya hivyyo kwa matendo.
2).Inawezekana mkeo wivu ndio tabia yake,au jinsi wewe unavyojiweka karibu sana na hao gelz kunamjengea picha tofauti,inawezekana kabisa wewe ukawa na kipaji cha kuzungumza,kufurahisha na kujua jinc ya kuwahandle gels,hilo likawa linawafanya wao wajisahau km wewe ni mume wa mtu na mara zote wakawa wanahitaji uwepo wako karibu yao,km ni hivyo ndivyo cha kufanya punguza sn kuwaweka karibu,na pili wakumbushe wewe ni mume wa mtu kwa hiyo wawe makini sana na hilo na zaidi ya yote waambie kwa uwazi kuwa mkeo hapendezwi na ukaribu wenu wa kihivyooooo kwahiyo mbaki kuwa marafiki mnaotafutana linapotokea jambo la msingi tn la msingi hasa,n kwa kufanya hivyo jua kabisa wengi watapungua maana tabia yetu wadada mtu akikufurahisha kidogo unajisahau km ni m2 wa m2 na pia jiandae kwa kuchukiwa maan ktk hali ya kawaida hao wadada watakuwa na interest zaid na hiyo nature yako.
Usijali wale watakao kaa mbali na wewe kwa kuwa muwazi kwao watakuwa hawakuwa na nia njema na wewe na mkeo.jikaze na uachane nao wanajamii forum tupo kwa ajili ya kusupportiana.......cheersss...