I love my wife but...

I love my wife but...

Asha Dii, Smile na Rocky,

Nimewapata sana lakini mimi sifikirii kucheat coz hamna kitu nakosa kwa shemeji yenu. Na la pili ambalo kubwa ni kwamba shemeji yenu ana mbinu nyingi za kijasusi kuliko Scoland Yard hata nikijifanya james Bond najua nitadakwa.

Hehehe
 
Pole sana kaka!hapo kuna mambo mawili ambayo kwa upande wangu nayaona,
1).Inawezekana unakatabia ka kuiba nje ya ndoa na mkeo ameshtukia ila hataki kuwa muwazi kwako o lilishakuwaga varangati na hilo likaharibu imani ya mkeo kwako,au anaambiwa maneno mengiX2 na watu kuhusu wewe kwahiyo anakuwa hakuamini.na anamulika mwizi... kwa hiyo muweke chini mkeo zungumza nae kadiri uwezavyo ktk mazingira tofautix2,muulize kwanini hakuamini,kunatatizo gani?au anasikia nini?kutoka hapo utajua shida ilipo na wewe jitahidi ubadilike na mjengee imani kwamba umebadilika na fanya hivyyo kwa matendo.
2).Inawezekana mkeo wivu ndio tabia yake,au jinsi wewe unavyojiweka karibu sana na hao gelz kunamjengea picha tofauti,inawezekana kabisa wewe ukawa na kipaji cha kuzungumza,kufurahisha na kujua jinc ya kuwahandle gels,hilo likawa linawafanya wao wajisahau km wewe ni mume wa mtu na mara zote wakawa wanahitaji uwepo wako karibu yao,km ni hivyo ndivyo cha kufanya punguza sn kuwaweka karibu,na pili wakumbushe wewe ni mume wa mtu kwa hiyo wawe makini sana na hilo na zaidi ya yote waambie kwa uwazi kuwa mkeo hapendezwi na ukaribu wenu wa kihivyooooo kwahiyo mbaki kuwa marafiki mnaotafutana linapotokea jambo la msingi tn la msingi hasa,n kwa kufanya hivyo jua kabisa wengi watapungua maana tabia yetu wadada mtu akikufurahisha kidogo unajisahau km ni m2 wa m2 na pia jiandae kwa kuchukiwa maan ktk hali ya kawaida hao wadada watakuwa na interest zaid na hiyo nature yako.
Usijali wale watakao kaa mbali na wewe kwa kuwa muwazi kwao watakuwa hawakuwa na nia njema na wewe na mkeo.jikaze na uachane nao wanajamii forum tupo kwa ajili ya kusupportiana.......cheersss...

Salito ,

Ushauri huu umekaa poa, nitaufanyia kazi
 
Asha Dii, Smile na Rocky,

Nimewapata sana lakini mimi sifikirii kucheat coz hamna kitu nakosa kwa shemeji yenu. Na la pili ambalo kubwa ni kwamba shemeji yenu ana mbinu nyingi za kijasusi kuliko Scoland Yard hata nikijifanya james Bond najua nitadakwa.

Hehehe
kwanini uishi kijasusi ndani ya ndoa? kwani hao marafiki unaotembea nao kwa kujihami wanakusaidia nini
 
Asha Dii, Smile na Rocky,

Nimewapata sana lakini mimi sifikirii kucheat coz hamna kitu nakosa kwa shemeji yenu. Na la pili ambalo kubwa ni kwamba shemeji yenu ana mbinu nyingi za kijasusi kuliko Scoland Yard hata nikijifanya james Bond najua nitadakwa.

Hehehe

Acha hizo biashara zako cha kuchat na ladies wakati ukiwa na wife
Hata kama ni kazi jipangie muda ambao utasema sasa ni mwisho w akupokea simu na kuchat kuhusu masuala ya ofc na darasani
Nilikuw ana tatizo hilo la watu wa ofcn kupiga simu hata usiku wa manane nikaja kuweka msimamo kuwa mwisho wa simu za ofcn ni saa mbili za usiku na weekend yote sipokei simu inayohusu kazi may be nikiwa niko ofcn naweza kupokea simu hizo
 
Asha Dii, Smile na Rocky,

Nimewapata sana lakini mimi sifikirii kucheat coz hamna kitu nakosa kwa shemeji yenu. Na la pili ambalo kubwa ni kwamba shemeji yenu ana mbinu nyingi za kijasusi kuliko Scoland Yard hata nikijifanya james Bond najua nitadakwa.

Hehehe



Wanao cheat hawaendi tu kusema sasa naenda cheat! Kuna vigezo na vishawishi vya mtu kucheat.... Na hata kama hufikirii kufanya hivo take note basi hao wanawake wawe na heshima kwa wife.... Na kaa upande wa wife sio kuwatetea kua "I love my wife but....." BUT nini? Kua you can not stand stop flirting with the gals hata kama you love your wife na she does not like it? Come on man open up nikuelewe......
 
Kama kuna kitu nachukia duniani ni hicho mkuu wewe ni mume wa mtu kujifanya eti ana urafiki na maledies na kusema eti ni friends tu
kuwa natural
kuwa mwanaumme

Kha! we Smiles.....Kuwa mwanaume ni pamoja na kuwa na friends na huwezi kuchuja wa kike ubaki na wa kiume tu...utakuwa sio wa 'kawaida'

Huyo mke mbona kama 'hajiamini' hivi?
 
Mkuu kuna muda wa kuchat na kuongea na hao unaowaita friends wa kike
Huwezi kusema mkeo avumilie unaongea na friends wako au watu wa kazini kwako saa nne au tano za usiku
Wanatafuta nini kwako muda huo au mnaongelea nini cha kazini au darasani saa tano za usiku
Jipange namna ya kuwaambia hao watu wako muda wanaopaswa kuongea na wewe masuala ya kazini au darasani na upate nafasi ya kukaa na mkeo muongee issue za maisha. Mkeo naona anaona humpi nafasi ya kukaa na wewe na kuongea na wewe na hao unaowaita friends umewapa nafasi kubwa sana kuliko mkeo na lazima awe na wasi wasi

Nadhani akifuata ushauri wako mambo yatamnyokea. Kuna muda wa kazini na kuna muda wa kuwa na familia.
 
Kha! we Smiles.....Kuwa mwanaume ni pamoja na kuwa na friends na huwezi kuchuja wa kike ubaki na wa kiume tu...utakuwa sio wa 'kawaida'

Huyo mke mbona kama 'hajiamini' hivi?



Sweetie acha kumdanganya na kumchangaya Maundumula.... Wewe kuna mwanamke anachat na wewe nikiwepo karibu yako ama tukiwa faragha usiku?
 
Kha! we Smiles.....Kuwa mwanaume ni pamoja na kuwa na friends na huwezi kuchuja wa kike ubaki na wa kiume tu...utakuwa sio wa 'kawaida'

Huyo mke mbona kama 'hajiamini' hivi?


Mkuu sidhani kama kuna sehem tumesema kuwa mtu asiwe na marafiki wa jinsia tofauti
tatizo linakuja pale unaposhindwa kuwathibiti hao marafiki wanajikuta wanachukua tena mpaka ule muda wako wa kuwa na familia yako
Yaani unajikuta badala ya kuwa na mkeo umpe na yeye nafasi ya kukusikiliz ana muongee mambo ya maisha wanauchukua tena so unabaki mpaka nyumbani nako unachat na kupigiwa simu za ofisini na the so called marafiki wa kike
 
kwanini uishi kijasusi ndani ya ndoa? kwani hao marafiki unaotembea nao kwa kujihami wanakusaidia nini

Smile ,

Naona hujanielewa buddy, nilikuwa namaanisha kwamba mama ana mbinu nyingi siwezi hata kumdanganya coz akiniuliza swali akiniambia niangalie usoni straight bila kupepesa nipe jibu anakuwa ameshani daka. Coz anajua nikiongopa nakuwaje
 
R' you are rite mie mzima kabisa dear...
Kwa ulosema kweli kabisa umemaliza,
ikiwa sealed na maneno ya Smile...

Mie najua mume aweza kua na marafiki wa kike
but hao marafiki kama wako genuine watakua
respective kwa privacy yake hasa inapohusiana
na kupiga simu mida ambayo si ya kazi....

Umeona ee ..thats ma gal.....mwaaah
 
Sweetie acha kumdanganya na kumchangaya Maundumula.... Wewe kuna mwanamke anachat na wewe nikiwepo karibu yako ama tukiwa faragha usiku?

Sweetie, Maundumula anajua kabisa mi naongelea ukweli.....afu mbona watu wamebase sana kwenye kuchat sijui usiku? yeye anasema kuwa na 'urafiki wa karibu' na colleagues wa kike...sasa inavoonekana mke wake hataki kabisa kusikia icho kitu....itakuwa maisha gani? LOL Hilo la simu usiku kwen faragha, linaeleweka kuwa halitakiwi, ila usiku unaanzia saa ngapi? akipiga saa moja usiku nayo itakuwa usiku? inatakiwa ajieleze kila simu anayopigiwa sweetie? hahaa

Mi nashukuru unaniruhusu kupokea simu bila kulzimika kusema zinatoka wapi,..ili mradi hazituvurugii privacy yetu...and eventually our romance lol
 
Alichosema Maundumula ni hiki hapa Rocky,

Problem ni wife hataki kabisa niwe na mahusiano ya karibu na jinsia ya kike yani awe colleague wa kazini au ofisi yangu ya zamani au evening class au whatever. Napata wakati mgumu coz hata wakipiga simu inabidi nianze ku explain "who is this " , "why she is calling" ,etc na kama ni new friend na ni binti basi kasheshe kabisa.

Mkuu sidhani kama kuna sehem tumesema kuwa mtu asiwe na marafiki wa jinsia tofauti
tatizo linakuja pale unaposhindwa kuwathibiti hao marafiki wanajikuta wanachukua tena mpaka ule muda wako wa kuwa na familia yako
Yaani unajikuta badala ya kuwa na mkeo umpe na yeye nafasi ya kukusikiliz ana muongee mambo ya maisha wanauchukua tena so unabaki mpaka nyumbani nako unachat na kupigiwa simu za ofisini na the so called marafiki wa kike

Sasa hebu nambie manake na wewe una mke kama mimi, do you have such a situation at home? lol
 
Sweetie, Maundumula anajua kabisa mi naongelea ukweli.....afu mbona watu wamebase sana kwenye kuchat sijui usiku? yeye anasema kuwa na 'urafiki wa karibu' na colleagues wa kike...sasa inavoonekana mke wake hataki kabisa kusikia icho kitu....itakuwa maisha gani? LOL Hilo la simu usiku kwen faragha, linaeleweka kuwa halitakiwi, ila usiku unaanzia saa ngapi? akipiga saa moja usiku nayo itakuwa usiku? inatakiwa ajieleze kila simu anayopigiwa sweetie? hahaa

Mi nashukuru unaniruhusu kupokea simu bila kulzimika kusema zinatoka wapi,..ili mradi hazituvurugii privacy yetu...and eventually our romance lol

Mimi naomba tu nikusalimu rafiki....maana tangu mwaka umeanza hatujaonana bana...! WISH YOU A BLESSED NEW YEAR!
 
Alichosema Maundumula ni hiki hapa Rocky,





Sasa hebu nambie manake na wewe una mke kama mimi, do you have such a situation at home? lol

Mkuu kwa huyu jamaa naona kuna more than communication. Hiyo ya mke kusema hataki jamaa awe na mawasiliano na wadada kuna kitu mke kashakiona kwa jamaa ambacho ni zaidi ya mawasiliano
Na ndo maana kila simu ikipigwa anatakiwa ajieleze aliyempigia ni nani na anataka nini
Marafiki wapo na wafanyakazi wenzetu ikiwepo pia tuliosoma nao ila respect kwa privacy yangu na mke wanaijua
Na wanajua wanatakiwa wafanyeje wanapotakiwa kuwasiliana na mimi na ni kwa wakati gani
 
Sweetie, Maundumula anajua kabisa mi naongelea ukweli.....afu mbona watu wamebase sana kwenye kuchat sijui usiku? yeye anasema kuwa na 'urafiki wa karibu' na colleagues wa kike...sasa inavoonekana mke wake hataki kabisa kusikia icho kitu....itakuwa maisha gani? LOL Hilo la simu usiku kwen faragha, linaeleweka kuwa halitakiwi, ila usiku unaanzia saa ngapi? akipiga saa moja usiku nayo itakuwa usiku? inatakiwa ajieleze kila simu anayopigiwa sweetie? hahaa

Mi nashukuru unaniruhusu kupokea simu bila kulzimika kusema zinatoka wapi,..ili mradi hazituvurugii privacy yetu...and eventually our romance lol

Kaizer,

Wewe nadhani ndio umenielewa vizuri kuliko wote.

Hizi simu haziji usiku wajameni hii simu inaweza kuwa mchana kweupee lakini inaleta noma.

Swala kama la kumsaidia friend sidhani kama inajalisha awe ni male/female coz kila mtu anapata matatizo sasa kwa system ya madame a lady friend doesnt deserve no help when in need kama anakufa ni bora akufe tu.

Sasa Smile, Asha Dii et all imagine u were my friend and in need...
 
Sweetie, Maundumula anajua kabisa mi naongelea ukweli.....afu mbona watu wamebase sana kwenye kuchat sijui usiku? yeye anasema kuwa na 'urafiki wa karibu' na colleagues wa kike...sasa inavoonekana mke wake hataki kabisa kusikia icho kitu....itakuwa maisha gani? LOL Hilo la simu usiku kwen faragha, linaeleweka kuwa halitakiwi, ila usiku unaanzia saa ngapi? akipiga saa moja usiku nayo itakuwa usiku? inatakiwa ajieleze kila simu anayopigiwa sweetie? hahaa

Mi nashukuru unaniruhusu kupokea simu bila kulzimika kusema zinatoka wapi,..ili mradi hazituvurugii privacy yetu...and eventually our romance lol


Sweetie tatizo wewe you have a doctorate ya ku manipulate maneno as a result ya reading between the lines... (that makes me so proud...lol). Kwa the way umeweka haya maneno uko sahihi kabisa!

Na Love take note hapa tumesikia upande mmoja wa shillingi, kwamba mkewe ni mjinga to the extent asijue na realise kua haiepkiki mume awe na colleague wa kike ambae waweza kua close? Siamini (na kama ni kweli namuonea huruma Maundu); Mie naona mpaka wife kalalama lazima hizo chatting zimevuka mpaka.... Mbona wee una wengi tu wawasiliana nao but ukisha ingia ndani I have your attention hata kulalama haiwezekani maana usha prioritise kipi/nani ni mhimu na wakati gani.... Na that is the way it is supposed to be.... About the calls I don't have to ask Sweetie.... I trust you....lol


Umemuona Happuch? mwambie namsalimu... (with Love)
 
Kaizer,

Wewe nadhani ndio umenielewa vizuri kuliko wote.

Hizi simu haziji usiku wajameni hii simu inaweza kuwa mchana kweupee lakini inaleta noma.

Swala kama la kumsaidia friend sidhani kama inajalisha awe ni male/female coz kila mtu anapata matatizo sasa kwa system ya madame a lady friend doesnt deserve no help when in need kama anakufa ni bora akufe tu.

Sasa Smile, Asha Dii et all imagine u were my friend and in need...



Jamani si washinda kazini ..... Mkeo anakua anaona hizo simu inakua vipi? Au ndo mambo ya weekends? Hapa Sweetie a.k.a Kaizer kuna kitu anatetea akijua mwenyewe! lol (@ Kaizer...Sori Lov')
 
Back
Top Bottom