min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Huu ndio utapeli sasa[emoji1][emoji1]Ila acha kwanza nipokeee japo zawadi ya valentine...tarehe15 tunaachana kabla ya kunjunjana[emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio utapeli sasa[emoji1][emoji1]Ila acha kwanza nipokeee japo zawadi ya valentine...tarehe15 tunaachana kabla ya kunjunjana[emoji2][emoji2]
Hahahahahaha..kwa kicheko hiki..hapa sina changu acha nikae pembeni😃😃😂😂
Ukimpata huyo umepata kitu chema. Ila Naungana na Dejan, ID yako ya siku zote ni muhimu. Isijekuwa moja ya wale mnaotuchamba humu kutwa [emoji28]
Milion 10...😂😂😂 na bado nitatakiwa kukaa kwa kutulia wahuni wakiwa wanamla huko nje na 10m ishaenda?? Neh Neh Bab jii!!!Yaani pamoja na sifa zote hizo Babu yake nilizotaja bado unataka kututania Wazee Kwa kuweka hizo elfu 30 Kwa bahasha.
Hizo elfu 30 Kwa gari tu anayotumia, akiweka mafuta gari haifiki hata Mwenge kutokea Upanga inakuwa imeshawaka taa.
Hebu Fanya uweke milioni 3, then tukikaa kikao Wazee tutakutajia mahari ambayo haitapungua milioni 10 🤗🏃🏃🏃🏃
Kuna mdada humu ana id nyingi sana ukute na hizi zake 😂Na ukiona ameandika hivi ujue kuna michambo dot.com inafatia
Hahahahaha huwa zinamsaidia nn sasa ? Huyo apimwe akiliKuna mdada humu ana id nyingi sana ukute na hizi zake 😂
Achana nae, mtu mwenyewe Wana mnanii😃
Kwa Mwanamke uliyempenda hutashindwa kumtolea hata milioni 50.Milion 10...😂😂😂 na bado nitatakiwa kukaa kwa kutulia wahuni wakiwa wanamla huko nje na 10m ishaenda?? Neh Neh Bab jii!!!
Usiogope kuhusu hiyo mahariMzee Kama kishija uchumba milioni 3, na mahari 10m.
Sidhani Kama nita kuja kuoa😃😂
Sawa mzee, ila 3 ndo mwisho 😂😃.Usiogope kuhusu hiyo mahari
Unakumbuka nilikuwa nasoma kitabu cha "how to be good a negotiator"
Basi ukiniletee dozen za Kiko lazima nitakusaidia ku- bargain ili kushusha hicho kiasi.
Wewe unaweza kulipa milioni 3 hadi 5 🤗
Angalia value atakayoileta huyo Mkeo mtarajiwa kwako.Sawa mzee, ila 3 ndo mwisho 😂😃.
👉5 ni heka 3 za nyanya 😃😃
Mzee na iwe hivyo, ila akiwa redio ya kuji tegemea.Angalia value atakayoileta huyo Mkeo mtarajiwa kwako.
Imagine watoto wenu hawatahitaji kupelekwa tuition nyakati za holiday maana Mama yao Shule imelala kichwani.
Umewahi kujiuliza atakuletea Watoto ma-brights na ma-cute/handsome kiasi gani. Na Kwa Shule ya Mama yao nao lazima watakuwa bright as watoto wanarithi zaidi ya asilimia 55 za traits kutoka Kwa Mama 😜🤗
Mzee wako siwezi kufanya hila kwenye Umri huu, bado naisaka Pepo ujue 🤗Mzee na iwe hivyo, ila akiwa redio ya kuji tegemea.
👉 Lazima uni lipe hela zangu za ugoro😃😃
Na hata hivi ninavyompenda angekuwa mwingine angenivimbia hadi mimi! Ila yeye wala masikini, ndio maana ni kaka mzuri.Ungekuta ndio mimi naitwa hivyo bichwa lingenivimba sijui kama ningesikiliza mtu humu[emoji4][emoji4]
😁😁😁Na hata hivi ninavyompenda angekuwa mwingine angenivimbia hadi mimi! Ila yeye wala masikini, ndio maana ni kaka mzuri.
Hahahahaha huwa zinamsaidia nn sasa ? Huyo apimwe akili
Hayo anayosema juu yako sitii neno, hilo ni juu yako to deal with 🤣