Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mdogo angu nakushauri tafuta kwanza pesa, usituige sisi wenzio tunatumia. Iga kazi usiige matumiziBasi naku tambulisha kwa shemeji yako Nuzulati 💓💓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo angu nakushauri tafuta kwanza pesa, usituige sisi wenzio tunatumia. Iga kazi usiige matumiziBasi naku tambulisha kwa shemeji yako Nuzulati 💓💓
Hahaha, keep observing mkubwa.Hahahahaha, hata mm naona yuko vzr ..kila la kheri. Mie humu sina sifa zao
Hahahaha. Mie nilipenda sehemu ila hakunipenda inatosha hkn mwingine tena wakunishawishi..ukizingatia janja janja ya humuHahaha, keep observing mkubwa.
👉Ina bidi use na akili Kama ya Pham xuan yuan
Hela kuanzia shingapi??, Afu tuna anzia chini - SI tuna build Kitu muhimuMdogo angu nakushauri tafuta kwanza pesa, usituige sisi wenzio tunatumia. Iga kazi usiige matumizi
Though humu hatu juani, ila naamini Kuna sehemu lazima uta gusika tu.Hivyo ulivyotaja ni vya muhimu sana sana
Hahahahaha sidhaniThough humu hatu juani, ila naamini Kuna sehemu lazima uta gusika tu.
Hahaha, au ali angalia wadhifa - akaona bado huja fika level anayo taka??Hahahaha. Mie nilipenda sehemu ila hakunipenda inatosha hkn mwingine tena wakunishawishi..ukizingatia janja janja ya humu
Hahahahaha...inawezekana kabisa sio level zakeHahaha, au ali angalia wadhifa - akaona bado huja fika level anayo taka??
Maana Kuna baadhi Wana jihisi Wana toka ukoo mmoja na Elizabeth😀😀Hahahahaha...inawezekana kabisa sio level zake
Hahahahaha kumbe andazi tuMaana Kuna baadhi Wana jihisi Wana toka ukoo mmoja na Elizabeth😀😀
Hahaha, sema hivi vitu ni ajabu Sana.Hahahahaha kumbe andazi tu
BOra empty set, unaeza fill data.Simfahamu@Dk Lizzy wala sikufahamu wewe mtoa mada..ila mbona naona hamuendani? au unaomba kazi ya uhouseboy? maana art yako inasadifu ni empty set(natania?
😄😄😄😄🙌🙌.....basi hatufai kuwa shemeji yetu ...BOra empty set, unaeza fill data.
👉Huyo Yuko factory reset mode
Mpeni nafasi, love start at the root leveo😀😄😄😄😄🙌🙌.....basi hatufai kuwa shemeji yetu ...
Mfadhaiko wa akili ni tatizo kubwa sana mdogo wangu.BOra empty set, unaeza fill data.
👉Huyo Yuko factory reset mode
Wanasema kuchapiwa ni Siri ya ndani eti 😜Ali lala na Bibi harusi, kabla ya harusi.
👉Halafu mzee bado mna nishauri harusi😀😂 Grahams
yani haiwezi kua mimi hahaha.... ni mimi banaaHaiwezekani!!!🥴
Hata ukinipa mpaka password na ikakubali, bado ntakataa katu katu.yani haiwezi kua mimi hahaha.... ni mimi banaa