Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
hahah imebidi anichunie bhana,kila tukiongea anataka nimtumie,namtumia zile zile anadhani namfanyia usanii,itabidi nimwelekeze kwakoHahahaha, kama ulimtumia picha umekaa kama model
na yeye alidhani unamfanana kingwendu, sasa ulitakaje?
Akiendelea kuubisha mwambie aniulize mimi nimthibitishie