i love u so much please understand me


Kisukari unasemaje?
 
Labtec, bado huyo handsome bwoi hajajibu Pm? Naomba feedback.
 
Kazi kweli kweli, pole sana dada hayo ndiyo mambo ya utandawizi.
 
Yaani ujue braza wee mkorofi??

Ila nimependa uchambuzi huu so detailed.

 
Mie nadhani hii tabia sio nzuri na sidhani kama inaendana na sheria za forum hii.

Ungemtaja jina basi tu I'd yake ioze, lo utoe picha zako then unachezewa?

Pia jua anaweza kuwa mwanamke, mume wa. Mtu, katoto kadogo chochote kile taja jina la humu.
 
pole my dear! and its not true kuwa watu wote hawako serious in relationships hapa jf, aliyeni-influence mimi kuingia jf ni rafiki yangu na hubby wake, and they met here here! so take your tym, mpotezee japo ni ngumu! then atakuja tu wa kwako if at ol umepangiwa kumpata hapa! ol the best!
 
Dada unajua kwenye hili jukwaa kuna watu wengine hawaishi bongo eenh!<br>Vile vile kuna wengine hapa ni kijiweni tu, maisha yao ya ukweli yapo upande mwingine...<br>Anza tu kwa upya, kama ulituma na picha pengine muhusika hajavutiwa nawe kivile(if u know what i mean), wanaume huvutiwa kwa kuona/kutazama...<br>Wakati wanawake huwa mnatumia hisia ya sita, hivyo ruhusu tu kukubali kuwa yaliyopita si ndwele!
 
Hebu jaribu kusahau.alaf anza kuchat na mimi nadhani ita saidia kumsahau.

Pole sana.
 
Kongosho nitumie mapicha yako nikutathimini maana unanisumbua sana kwenye PM.......ooh mara wewe hendsam (umeniona?) mara napenda mwandiko wako (kwani naandikia wino)
 
Last edited by a moderator:
bora asijaribu mana ataishia kutuma picha na kuumbuka kama mimi ..mana hapa nabakia najiuliza hajanipenda..mimi mbaya sana ama ni kitu gani jamani

Dadangu huyo jamaa mm naona ni mstaarabu sana...
 
Alikuwa anampa maneno mazuri mazuri ya kimapenzi zaidi..
Rogie upo my dear?? he hatupishani siku mbili hizi kulikoni?? mwenzio nilinogewa na ukaguzi wa babu kha!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dear!kama alivyokwambia mambo ya kwenye mitandao especialy Jf ambako watu tunatumia fake identity sio ya kuchukulia serious unless umemuona mtu live na ukathibitisha kila kitu phyisicaly!! Take heart and move on mwaya ndo maisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…