Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi bwana!Tutamcheka tutambeza tutamkejeli na kumdhihaki mleta mada lakini kamwe hatujachukua walau sekunde kutafakari kipindi anachopitia na jitihada za kuomba suluhu hadi kufikia kuja kupost hapa
Kuna maumivu yake makubwa sana kwenye hili... Mwana kala buyu hataki kusamehe... Hatujui kosa ni ninini hivyo siwezi kuhukumu kikubwa hapa ni mmoja kaamua kujishusha kabisa na kuomba radhi kwa njia hii... Ametua mzigo mzito...
Kaka jamani!Na December hii amekata kamba coz mambo ni mengi, pesa hakuna. Subiri amalize majukumu yake mid January, he'll be there for you. Wanaume sisi Mungu anatuona...
Acha kufukua makaburiii![]()
Take me as I am
My Dear I know your here and read this post please take me as i am and do not listern to people advirse .😍😘😘 Love is like the amount it will kills you or not.www.jamiiforums.com
Now its over![]()
I need you here with me
www.jamiiforums.com
Acha kufukua makaburiii
He did but not nowAcha kufukua makaburiii
Now its over
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ooh.... Ngachoka kabisa mimi...!!!
It's okay!He did but not now