''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?

''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?

Maneno kama haya ndo yanasababishwa mrogwe, sawa unainjoi lakini kuna haja gani kututambia tunaolala na kuamka alone kama tunafufuka kaburini 😁😁😁 (jokin)

Good for you
ahahahahahha pole shemeji
 
naamka saa 10 kwenda kazini
kila siku morning glory, alaf inakuwa tamu ileee na kojo zito juu
Tobaa🤔, we SI mwenyekiti wa chama Cha kumwaga nje na sheria ya mkono bao🤒🤒 cc mshamba_hachekwi 🤣😂 Ume nitumia nini hiki pm🤒

Screenshot_20230615-113340.png
 
Haya haya sasa, mimi kila nikiamka asubuhi, mume ananiambia morning babes!
I love you, na mabusu tele, mwaaaah!

Sasa sijui upande wako ukiamka kunakuwaje? Unaamka na stress za kausha damu (Marejesho/madeni)? Kuwa mkweli basi tuambie, ni stress au mabusu?

Msiopata mabusu asubuhi nawasalimu kwa jina la Money Penny,
ninawachumu mwaaaaaaah!


View attachment 2700391

View attachment 2700392

Weuweeeee💙❤💦
 
Back
Top Bottom